HII NDIO FUNGA MWAKA 2013 YA V.A.D

VAD likiwa na maana ya Voice Of Africa In Denmark ilianzishwa mwaka 2011 na inapokea msanii yeyote mwenye nia ya dhati katika kuitangaza Afrika kupitia sanaa ya filamu na mwenye kipaji cha uigizaji bila ubaguzi wowote.kabla ya kuukaribisha mwaka mpya  nilipata muda mzuri  wa kujua mawili matatu  kutoka kwa  kampuni  ya V.A.D iliyovunja rekodi kwa mwaka 2013 kwa kazi nzuri za film nchini denmark na ulaya kwa ujumla kampuni lakini kabla ya kusema mipango yao ya 2041 tujikumbushe mambo mbalimbali ya 2013

WALINIKIWA KUMLETA NA KUFANYA KAZI NA MUIGIZAJI NYOTA KUTOKA TANZANIA .LUCY KOMBA  MOVIE INAYOITWA TANZANIA TO DENMARK, Fuatilia picha chini

1529505_784979161517506_502114606_owasanii wa v.a.d wakiwa na lucy komba

1533247_10202768398321711_1146847641_n

1085116_585690738161372_1042728354_owakishuti tanzania to denmark na lucy komba

1508487_10202768398241709_1752955269_nwakishuti tanzania to denmark na lucy komba

VAD FILM PRODUCTIONS WALIFANIKIWA KUIINGIA MIKATABA YA FILAMU NA KAMPUNI ZA NORDISK FILMS NA BOLIG AALBORG, WAFUNGUA AKAUNTI MPYA YOU TUBE BAADA YA KUFANYIWA HUJUMA AKAUNTI YAO YA ZAMANI kuhusu maeneo ya location ya filamu watakazokuwa wanatengeneza na Bolig Aalborg ambalo ni shirika la nyumba la Nordjylland na picha hapo chini zinaonyesha wakati wasanii hao walipokutana na shirika hilo kuangalia nyumba zao mpya ambazo tayari wameshajenga na nyingine bado zinajengwa kwa ajili ya kutumia kama location wakati wa kutengeneza filamu.

1457040_399708756829719_1459245156_n1474721_399709846829610_1119855874_n1533191_10202767928709971_1713179090_n

WASANII WA V.A.D WALIWEZA KUSHIRIKI KATIKA TAMASHA  KUBWALA FILM KUTOKA AFROWOOD FILM FESTIVAL 2013 NCHINI DENMARK.

Afrowood Film Festival kwa mara ya kwanza ilifanyika katika ukumbi wa Culture Centre, Copenhagen,  nchini Denmark  na kuwakutanisha wadau mbalimbali wa filamu. Na filamu za kiswahili ziliwakilishwa na wasanii kutoka VAD Production, Twaleb Entertainment. Wageni waalikwa kama vile Tanya Kersey kutoka Hollywood, Yvonne Hans(Uk/Nigeria), Obi Ikenna(Uk, Nigeria, Marie K. Gomez na wengineo walikuwepo na kufurahia kuziona filamu za kiswahili na za lugha nyingine . Wadau hao walibadilishana uzoefu na kujifunza zaidi kuhusu filamu.Angalia baadhi ya picha za matukio ya Afrowood…………..

    992558_406116862855575_1967060984_n 1493055_407615956038999_1174214635_n

1417804_785324094826872_370774348_o

1425677_443583215748293_1707490625_n600889_443583922414889_1545126163_n

   1470516_407616286038966_2045995520_n

1015263_10201252701670242_965109367_o

wasanii wa vad siku zote ni watu wenye umoja hivyo pia walifanikiwa kushiriki harusi ya msanii mwenzao wa scandinavia

965440_456149114489093_574229973_o1400762_443599062413375_1620598414_o(1)1488791_776505772375371_364829207_n1403328_443599202413361_304856111_o

V.a.d. waliweza kumwalika na kucheza film na msanii maalufu kutoka Tanzania  Mr nice

Mr Nice kutoka Tanzania ambaye ni msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyewahi kujipatia umaarufu mkubwa ndani na nje ya nchi akiwa na style yake ya Takeu kupitia nyimbo kama Kidali Po na Kikulacho amepata nafasi ya kucheza filamu huko Denmark kupitia wasanii wa VAD productions wenye asili ya kiafrika

524049_563260973763022_265604619_n  903255_785327564826525_1653523287_o 1508238_413347348799193_1930793582_n 1503643_413351712132090_1602417330_n

1401989_10202336004432134_977931214_o

1476833_413349765465618_1658136234_n

Sasa hayo ndio mambo ambayo  v.a.d ilifanya ili kukufurahisha wewe shabiki wao  wakuwa na watu tofauti kama Lucy Komba, Nordisk Film, Biligskab Aalborg, Afrowood Film Festival 20013 Copenhagen na Mr. Nice na kwa mwaka 2014 umependelea V.a.d ifanye nini? leta maoni yako hapo chini ili vad iendelee kukuburudisha  …

Usisahau kulike and share pia unatupata facebook .  swahili movies .com
pia follow us instagram  swahilimovies

SIOGOPI KITAMBI NI MUONEKANO MPYA TUby Selembe Toko

Selembe toko msanii wa vad kwa kipindi kirefu amekuwa akionekana mwenye mwili nadhifu na mengine yakizushwa  kwa kila aina ya usemi …. lakini swahili movies, imeweza kujua lilio nyuma ya pazia , baada ya star huyo mwenye makeke mengi akiwa kwenye camera , kuingia gym na kuanza kupunguza mwili wake , 

1014126_672778276081455_565462401_n
Selembe toko  muonekano wake wa sasa

Hamna lolote  sio kama naogopa kitambi ila lililonifanya kuingia gym  nikutaka kuwa smart zaidi , maana wakati mwengine nashindwa kucheza baadhi ya sehemu au uhusika kwasababu ya mwili wangu au muonekano wangu, hivyo nimeamua kuingia gym ili mwaka mpya nije na kazi mpya na muonekano mpya kwa mashabiki wangu

 

1025719_675367985822484_61387705_oSelembe toko akiwa gym akifanya mazoezi

1048906_678369648855651_738215187_oSelembe toko akiwa gym akifanya mazoezi

SELEMBEselembe toko akiwa gym akifanya mazoezi

Usisahau kulike and share pia unatupata facebook .  swahili movies .com
pia follow us instagram  swahilimovies.