DIAMOND ATIMIZA AHADI SOMA HAPA ALICHOKIFANYA

DIAMOND ATIMIZA AHADI YAKE YA KUWASOMESHA WATOTO WALIOSHINDA KUCHEZA NGOLOLO

D-shule-4

Licha ya kwamba mwanamuziki superstar wa Tanzania Diamond Platinumz hakufanikiwa kusoma kwa kiwango cha juu lakini bado anathamini na kuona umuhimu wa elimu kwa mtoto na mtu yeyote yule katika ulimwengu wa sasa ulioshikiliwa na utandawazi ambapo elimu huwa moja ya silaha muhimu sana. Kupitia mtandao wake jana Diamond aliweka picha za kutimiza ahadi yake ya kuwasomesha watoto walioshinda katika shindano la kucheza Ngololo ambalo lilifanyika mwishoni mwa mwaka jana katika show yake.

Watoto hao watasomeshwa katika shule ya East Africa International School iliyopo Mikocheni jijini Dar es salaam na jana hiyo hiyo Diamond alitinga shuleni hapo kuwaandikisha watoto hao tayari kuanza masomo. Diamond ambaye umaarufu wake upo mpaka nje ya Tanzania aliandika ………………..

Capture1d-shule-7Diamond Platnum akiwa na mwalimu mkuu

D-shule-4Diamond Platnum akiwa na watoto ambao anawasomesha

d-shule-8Diamond Platnum akiwa na wazazi wa watoto

D-shule-6Diamond Platnum akiwa na mwalimu mkuu

all images by Wasafi(This is Diamond)

Habari kwa msaada wa swahili World Planet blogsport

Usisahau kulike and share pia unatupata facebook .  swahili movies .com
pia follow us instagram  swahilimovies

kutana na Designer anayefanya vizuri Tanzania

jina langu ni jackson Gumbala   jina la designs ni Gumbala Ubunifu

1483754_588808051201719_741789951_o(1)

Jackson Gumbala akiwa ndani ya vazi alilolidesign

UMEANZA LINI KAZI HIZI ZA UBUNIFU

nilianza ku design tangu primary , secondary , hata sasa chuo kikuu, mwaka wa mwisho sasa wa tatu, nimefanya  fashion show nyingi siwezi kuzimaliza, lakini nimefanya show kama swahili fashion week 2011 ,  lady in red 2012, redds unifashion bash 2011 , Kanga za kale 2013,

1404413_554519234630601_414890359_o

1025846_588329677916223_243206220_oJackson Gumbala akiwa anawaandaa wacheza shoo wa Mrisho Mpoto

680373_540016309414227_497542262_oJackson Gumbala na Mrisho mpoto

857363_424278854321307_865951447_oJackson Gumbala akiwa na mmoja model

1264698_525668867515638_1750688433_obaadhi ya nguo alizodesign Jackson Gumbala

1502859_590532704362587_360670252_oJackson Gumbala akiwa na stara Thomas akionyesha nguo aliyodesign kwa ajiri ya Raisi  wa Tanzania

Tanzania top model 2013, Miss higher learning 2013, miss tanzania 2013, Miss and Mr. TIA 2013, miss Ustawi wa jamii 2013.redds unifashion bash 2013,open stage at GOETH 2013.nimesha wadizainia watu wengi kama banana zoro , lady jay dee,Mwenyekiti wa Basata, na katibu mkuu mtendaji Basata nawengine wengi kwani kazi yangu si tu kuonyesha bali mtu yeyote anayependa anaweza nitafuta nikamdizainia , nguo aina yoyote.

527972_424281177654408_1702628825_nUsisahau kulike and share pia unatupata facebook .  swahili movies .com
pia follow us instagram  swahilimovies