Wakali wa filamu za kiswahili NchiniUingereza Morning Star in England Baada ya kimya cha muda mrefu sasa wamekuja upya na filamu mpya ya CARIS Nilipoongea na kiongozi wao alisema sasa kazi imeanza hana mengi ya kuongea ila mashabiki wakae mkao wa kula ,kwani CARIS FILM ni moto wa kuotea mbali ,
hayo ni maneno ya Director basi wewe shabiki wa filamu tazama trailer na utupe maoni yako
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
Christine Scherrer Dady Gal Ni mwanamuziki mpya wa muziki wa Injili anaeishi swizerland lakini asili yake ni Kenya , si tu kuimba bali pia anasambaza Injili ya Yesu Kristo kwa njia mbalimbali , mpaka sasa ameshatoa nyimbo zake Tatu na katika nyimbo izo ansema kuwa mengi aliyoimba yamemtokea katika maisha yake na kuguswa na kuamua kumtumikia Mungu hasa kwa sifa na kwa kutoa ushuuda wake wa maisha yake kwa leo tunakuletea nyimbo hizo zitakazokugusa na siku zijazo tutakuletea interview ya muimbaji huyu kujua mengi kuusu ushuuda wa maisha yake .
Bonyeaza hapo chini kusikilizanyimbo hizo
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT :here
Tupe maoni yako hapo Chini..!!
Subscribe youtube DEVOTHA MEDIA
To change your privacy setting, e.g. granting or withdrawing consent, click here:
Settings