Muigizaji na Mkurugenzi wa kampuni ya filamu ya Big jj ,kutoka Denmark Big JJ Olenga Aja na filamu mpya akimshirikisha Muigizaji star kutoka ghana ARTUS . Hikindicho alichokisema Big JJ baada ya mashabiki kukubali kazi hiyo .
NO FEAR its the best movie that took us more than 2years to finish it,and now we start working on promotion and i believe that this film is going to hit .for more information about bigjj film production, now we are working on the big project 1story will take 1 to 2 years to finish it,so in shot we are not able to work with people who want us to finish they are movies in 1 to 2 weeks
Behind the scene NO FEAR FILM
Filamu hiyo iliyochezwa nchini DENMARK na GHANA ni moto wa kuotea mbali , Angalia hapo chini trela ya filamu hiyo ya NO FEAR:
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT :Here
POSTED BY : Hamm Chande