Muigizaji na promota wa wasanii wa east africa nchini ujerumani Ashley Toto apewa Tuzto kwa kazi yake nzuri ya kuprome wasanii wa muziki na hasa wa east africa Tuzo hiyo aliyopewa usiku wa christmass Asley amesema kuwa anahsukuru sana kwa kampuni hiyo iliotambua mchango wake katika kupromote kazi za wasaanii wa afrika mashariki ulaya na pia kuraisisha mawasiliano kati ya mapromota wengine na wasanii wa africa Ashley ameshukuru sana
Licha ya kupokea Tunzo hiyo muigizaji huyo amewataka mashabiki wakoe wakae mkao wa kula kwani mwaka 2016 amefungua kampuni yake ya fimau inayoitwa ATM au ASHLEY TOTO MEDIA. hivyo ashley amewataka mashabiki wakae mkao wa kula kwene uwanja wa filamu na kusema anawapenda sana.
Actress ashley Toto akiwa ameshika Tunzho yake
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more