Mashabiki wa diamond platnum wanajaribu kutegua kitendawili kwanini rickross amefuta picha zote alizowai kuposti za diamond platnumz, mwaka jana mwishoni baada za diamond kutangazwa kuwa ni balozi wa belaire , kinywaji ambacho rickross anahusika nacho , hiyo ni miongoni mwa picha ambayo rickross alipost
lakini mabalozi wengine wa east afrika kama hudah hajafuta , na kuwafanya mashabiki wa diamond kuchanganyikiwa kwani si picha tu bali hata video zooote waliyopiga pamoja amefuta wakati wamefanya wimbo pamoja ambao umefanya vizuri
VAD FILM PRODUCTION IKISHIRIKIANA NA AIMUS INTERTAINMENT INAWALETEA UZINDUZI WA FILAMU ZAO MBILI MPYA FILAMU ZA KUJISAHU NA FILAMU YA QUEEN , kwenye uzinduzi huu kutakuwa na mambo mengi kama standup comedy itakafofanywa na mchekeshaji maarufu mtanzania MWALUBADU , pia mastaa wengi watakuepo kama LUCY KOMBA , CLOUDS 112, SELEMBE TOKO , CLARICESAFI , RIZOZ BABINGWA ,SAFARI LUKEKA , BLACK, TATU ,DANIEL,KAY MSABAHA JAZ MSABAHA NA WENGINE WENGIII
ILI KUWEZA KUHUDHULIA UZINDUZI HUU WAHI SASA NUNUA TIKETI YAKO ILI USIKOSE NAFASI , kushuhudia MASTAA WAKO WA ULAYA NA AFRIKA . VINYWAJI MZIKI NA MAMBO MENGI YATAKUEPO SIKU HIO YA TAREHE 31MWEZI WA 2 KATIKA UKUMBI WA SVERRIGGARDSVEJ 4,9520 SKORPING DENMARK KWA MAELEZO ZAIDI KUNUNUA TIKETI NA JINSI YA KUFIKA PIGA SIMU NAMBA +45628578656