BREAKING NEWS: BABU SEYA ACHIWA HURU NA RAIS MAGUFULI

Yametimia katika sherehe za Uhuru 2017. Katiba ya JMT Ibara ya 45 yatumika.
Karibuni kwa maoni

Rais John Magufuli akiwa kwenye kilele cha miaka 56 ya Uhuru amesemehe wafungwa 63 waliohukumiwa kwa vifungo mbalimbali na kunyongwa.

Miongoni mwa waliosamehewa ni wanamuziki Nguza Viking Alias maarufu Kama Babu Seya na Johnson Nguza(Papii Kocha) ambao walihukumiwa kifungo Cha maisha gerezeni kwa kosa la kubaka na kulawiti watoto 10 mwaka 2003 na kuhukumiwa Juni 25, 2004.

Pia Rais Magufuli amemsamehe mzee Matonya mwenye miaka 85 ambae alihukumiwa kunyongwa na ameshakaa miaka 37 baada ya hukumu na miaka Saba mahabusu.

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX