Category Archives: europe

Umojaradio Uholanzi wakishirikiana na Ac Company-Ltd Uvira wanakuleta filamu bandika bandua

Umojaradio Uholanzi wakishirikiana na Ac Company-Ltd Uvira wanakuleta filamu bandika bandua ,na wamewataka mashabiki wao wote wakae mkao wa kula kwani kazi nyingi zinakuja umoja radio wameandika haya chini

Wadau wote wanaopenda maendeleo ya vijana wetu kutoka Jamhuri ya Kidemokratia ya Kongo, tumewaletea habari nzuri. Movie za AC Ac Company-Ltd Uvira zitakuwa hewani kwa mda wowote kwenye account ya Youtube ya umojaradio ” UmojaRadio NGG” waweza ku Subscribe ili wakati tutakapo weka au upload video hizi uwe wakwanza kupata msg ili kutazama uondo uhu wa vijana hawa ili kuwa sapoti kazi yao. Unakaribishwa ku share kwa wengine. LINK YOUTBE:




xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx




https://www.youtube.com/watch?v=EZ1h_PlCBnQ&feature=share


Hamisa Mobeto : Mama Diamond platnumz ananongwa

Siku chache zilizopita baada ya mama Diamond platnumz kukiri kuwa amempiga hamisa mobeto baada ya kwenda nyumbani kwake Madale kumfata Diamond , na Mama Diamond aliongeza kuwa anamchukia sana mwanadada huyo Hamisa MOBETO Kwakuwa alianzisha uhusino na mwane diamond na kufanikiwa kupata mimba kipindi ambacho tayari Diamond alikuwa kwenye uhusiano na mrembo ZARITHE BOSSYLADY Kama haitoshi kipindi hichohicho Zari alikuwa mjamzito wa mjukuu wake NILLAN ,

Lakini licha ya kuwa familia ya diamond kukubalimimba hiyo ya hamisa na kukubali kuilea lakini kwa hamisa ilikuwa tofauti kwani yeye alitaka kuitangazia dunia nzima kuwa mimba hiyo ni ya diamond ndipo alipowaita Shilawadu kumrekodi mama diamond alipoenda kumtembelea hospitali ili tu kuthibitisha kuwa yeye amezaa na diamond licha kwamba aliambiwa iwe siri ukizingatia tayari diamonmd alöikuwa kwenye mahusiano na mtu mwingine

Matukio yote haya yalimfanya mama huyo wa msanii nguli kumchukia hamisa mobeto hata kupelea kutomposti mtotoi huyo wa hamisa katika instagram yake , sasa juzi hamisa alipokwenda tena nyumbani kwa mama huyo anapoiishi na mwanae Madale ndipo mama huyo alimfukuza na kukiri kumpiga na kutokumtaka kumuona hapo nyumbani kwake

siku ya jana Hamisa lipofanyiwa intervuew na Dizzim online kuhusianna na jambo hilo la mkwewe kutokumtaka alijibu hivi UNAJUA WAZAZI WETU UMRI UKIENDA WASWAHILI TUNASEMA WANAKUWA NA NONGWA; INATAKIWA DIAMOND AMWAMBIE MAMAAKE KUWA MAMA AKE ANAONA HIVI IVI DIAMOND ANAONA HIVI, huwezi kumchagulia mwanao .

alimazia Hamisa mobeto unalipi la kumshauri mobeto comment hapo chini.

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

https://www.youtube.com/watch?v=_3v26OBVRrk

https://www.youtube.com/watch?v=IyZLxvVtIDQ

https://www.youtube.com/watch?v=ki7sOgRKS04