Wengi wanamfahamu kama Dada Bibiye au Mama AFrika kwa staili ya mavazi yake na kazi yake kubwa ya Upromota nchini Ujerumani, mwenye asili ya Tanzania , Leo mchana ameandika kwa majonzi katika mtandao wake wa kijamii
kuwa dada yake mpendwa amefariki .Dada yake huyo aliekuwa mgonjwa kwa kipindisasa baada ya kujitahidi kwa juhudi zote za matibabu na Maombi lakini Mungu ameamua kumchukua kwani Bwana ametoa na bwana ametwaa japo kwetu binadamu ni majonzi ya hali ya juu.DADA bibiye aliandika haya yafuatyo katika ukurasa wake wa kujamii
It is with great sorrow to inform all our friends and relatives that we lost our dearest sister Tina on 18-07 2014 who succumbed to cancer .she gallantly foughty in SIMMERN/ HUNSRÜCK GERMANY
TINA has left three kids and all her family members and friends will surely miss her .The date and place of burial will be established in due courcse
Familia ya MLWILO WA UJERUMANI / HOLLAND Tunasikitika kutangaza kifo cha dadayetu mpendwa TINA MLWILO kilichotokea hapa Ujerumani TAREHE 18.07.2014 SIMMERN/ HUNSRÜCK. TINA ameacha watoto watatu , familia na marafiki tutaendelea kumkumbuka kwa upendo na ukarimu wake . TUTAENDELEA KUWATAHARIFU MUDA NA SIKU YA MAZISHI.
IN LIEBE UND GEDANKEN WIR TRAUERN AN UNSER BELIEBTE SCHWESTER TINA MLWILO.
GEBOREN: 6.11.1974
GESTORBEN: 18.7.2014
Swahili movies inampa pole sana dada bibiye na familia yote katika kipindi hiki kigumu
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT :Here
Tupe maoni yako hapo Chini..!!
hjj