EUROPEAN swahili Movies Celebrities

 

1621801_444056495728278_1465424685_nJina lake halisi ni Tatu Daniel , ila anafahamika  zaidi kwa jina la Tantine- au jabuka  jina alilolipata kutokana na filamu yake ya kwanza kabisa kuigiza iliyoitwa Jabuka . Ni mmoja wa  warembo waigizaji wakubwa na wakongwe sana hapa barani ulaya na ameweza kujipatia heshima na umaarufu kutokana na filamu nyingi alizocheza .

1948094_446847925449135_626849326_nClaurice Safi

AnaitwaClaurice Safi . Ni mmoja kati ya warembo wenye  wa aina yake nchini na kwenye “industry” ya swahili  movies. safi ni mwanadada mwenye mvuto unaokubalika na wengi na ameweza kujipatia kufanya vizuri kwenye filamu ya MY WIFE  . Licha ya kuwa mwigizaji mwenye uwezo wa kipekee, Safi  pia ni  mwandikaji “script” mwenye viwango vya kimataifa.

Selembe Toko1014126_672778276081455_565462401_n

 

 

 

 

 

 

1185042_10201473504187090_1028847860_n

 

 

 

 

Jina lake halisi anaitwa Ashey Toto na kisanii anajulikana kwa jina hilo hilo la Ashley. ni mmoja wa waigizaji wanaofanya vizuri  kwenye tasnia ya
swahili european movies

 

 

Ashley Toto

1534719_656770227697675_554776188_o

 

1017431_10202627411540933_657164449_nJusine Zawadi

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

905383_390558161089395_1517162927_o

 

 

 

 

 

Jina lake halisi ni Abou Hemis Twaleb   kwa mashabiki wake anafahamika kama “Abou”. Ni mmoja wa waigizaji na mmiliki wa kampuni ya filamu hapa Barani Ulaya. Alianza kama muigizaji na sasa anatengeneza, anaongoza Filamu  na pia ni mwandishi wa “script” kwa ajili yake na watu wengine. Pia ni mshereheshaji (MC) kwenye shughuli mbalimbali za sherehe. Ni   mchezaji mzuri wa mziki au dancehall.

 

Abou  Hermis Twaleb

 

1483059_559124707509982_1322938127_n

 

 

Devotha Alfred Anafahamika zaidi kama Rose  ni mmoja warembo wenye mvuto wa pekee ndani ya tasnia ya europe movies kwa vipaji vyake vingi sana. Licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuigiza pia rose ni mwandishi na mwongozaji wa Filamu. Akiwa ameshaigiza kwenye zaidi ya Filamu nne)  Pia Rose amesomea sanaa katika Chuo kikuu cha Mlimani Tanzania [fpa] Rose Pia ni mwanafunzi . Rose Hupenda kusikiliza muziki, kuogelea, na  kusoma na kusafiri

 

 

601819_528439073879510_1367208767_nAnajulikana zaidi kama “Mmewangu ” kama mwenyewe alivyopenda kujiita. Jina lake halisi ni Rizos Babingwa. Ni  mmoja wa muigizaji  na meneja mkubwa wa kundi la VAD . Na mmoja wa waanzilishi wa Swahili movies barani Ulaya ,  ndiye aliyekuwa msanii wa kwanza ulaya kuweza kuwavuta wageni kutoka nchi mbalimbali kuja kuigiza nchini Denmark, hasa Watanzania  kama vile Lucy Komba , Mr nice , na wengine wengi. Rizos  pia ameweza kuwaleta waongozaji filamu kadhaa wa Kigeni  nchini. Moja ya filamu zilizompa umaarufu sana  kama Nimwamini NANI , tanzania to Denmark

Rizo Babingwa

1003576_687302594633832_531513558_n

 

Akiwa mmoja wa waigizaji wa kike ndani ya Swahili european movies na mwenye umbo lenye mvuto. Blandine Wakengo ama blandine kama anavyofahamika na mashabiki wake ni mwigizaji aliyekuja kwenye tasnia ya filamu miaka ya karibuni na kuweza kujipatia umaarufu kupitia filamu mbalimabli alizoigiza.

 

 

 

 

 

1527831_10200662380036776_2086888029_n

 

 

 

 

 

 

Frank Salum

 

 

1231671_713164888700283_1079484579_nSolange David

1490952_592620704120166_1105387771_n

 

 

 

 

 

 

 

 

Big jj Olenga

1476032_680949748602583_1851307394_n

 

 

 

 

 

sallai Majasiri

12992_184692865042485_594045489_n

Jina halisi ni Sanura jafari  sio jina geni kwa wapenzi wa vichekesho nchini kwani ni mmoja wa waigizaji wanaofanya vizuri sana kwenye tasnia hiyo .Pia ni mchekeshaji mkubwa sana.sanura  anayekuja kwa kasi kwenye upande wa filamu na vichekesho

 

 

 

1469755_769787443036678_794698002_nAlly dex lulenda

965826_1402986499942229_11331188_oAnafahamika kama Mage seluwa  ni mwanadada mwenye vipaji vingi ndani ya tasnia ya movies. Pamoja na kuwa mwigizaji aliyekuja kwa kasi sana pia mage ni mwanamuziki wa gospel fleva anayefanya vizuri sana sokoni kwa nyimbo zake mbalimbali zenye mahadhi mbalimbali. Pamoja na kuwa na umbo na sura nzuri ya kuvutia mage  pia amekuwa akitawala sana vichwa vingi vya habari,magazeti na redio kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuimba nyimbo za injiri.

 

 

 Mage Seluwa

jjik

 

 

 

 

 

 

946622_358992384212659_261558238_n

Akiwa mmoja wa wasanii wanaofanya vizuri sana kwenye soko La Scandinavia movies nchini, Jina lake ni Papi Bin Gibril  wake  na kwa waigizaji wenzako anafahamika zaidi kwa jina la papi . Ameshaigiza kwenye filamu zaidi ya Tatu na kwa sasa ni Muheka hadhina wa kundi lake la VAD . Kwa upande mwingine ni Mwandishi wa stori  .

   Papi Bin Gibril

 

1920101_1423857914524850_1263276705_nJina lake halisi anaitwa Vumi Vane  na kisanii anajulikana kwa jina hilo hilo la VUMI. ni mmoja wa waigizaji wanaofanya vizuri  kwenye tasnia ya SWAHILI movies

1899745_554742987973801_1305344581_o

 

 

 

 

 

 

 

 

                                                                          Gilbert Fatakid

Jina lake halisi ni  Gilbert Fatakid   ingawa wadau wengi wa movies wanamfahamu kama “  Gilbert ”, ni mmoja wa waigizaji chipukizi ndani ya tasnia ya filamu nchini. Pamoja na kuwa na mwili uliojengeka vizuri kimazoezi pia      Gilbert Fatakid ni mwigizaji mwenye mvuto wa aina yake na ameweza kushiriki katika filamu chache hapa nchini. Anajulikana na mashabiki wake kama mwigizaji mstaarabu na mpole na mara nyingi kama mtu mwenye busara na maamuzi ya hekima.

Subscribe youtube DEVOTHA MEDIA