HARUSI YASHILOLE YAFANA , YAUZURIWA MASTAA KIBAO WENGINE KUTOKA ULAYA


Hakika shilole ni mtu wa watu , jana KWENYE Harusi yake ilidhiirisha hiyo baada ya ma
kummiminia mazawadi.

Katika harusi hiyo iliyohudhuriwa na mastaa kibao wakiwemo wa Bongo Fleva na Bongo Movies, Couple ya Jux na Vanessa BABU TALE ; Dogo janja na uwoya , Diamond platnumz na wasafi kwa ujumla , jokate, lakini DJ Maarufu kutoka holland DJ Hatib Must ALIKUEPO NA mbunifu wa mavazi anayeishi ufaransa Kash Mlenzi Lassalle wote walipata chance ya kumpongeza msanii huyo walipata fursa ya kutoa nasaha na kumpongeza Shilole kwa kufunga ndoa pia wakimpongeza Uchebe kwa kumpata mke aliye bora na kummiminia zawadi za kutosha





xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx






https://www.youtube.com/watch?v=dHB_WTuqKq8

https://www.youtube.com/watch?v=DpV3RdvFZrM