KAJALA AANZISHA KAMPUNI YAKE YA FILAMU “KAY ENTERTAINMENT”, LAANA NI FILAMU YAKE YA KWANZA KUITENGENEZA.

 

1kajala21kajala

Baada ya kipindi kirefu sasa kupita bila Kajala Masanja kuonekana kwenye filamu za kampuni ya Wema Sepetu(Endless Fame Productions)  iliyodaiwa kumsainisha na kampuni hiyo kudaiwa kuyumba kwa kukosa
usimamizi mzuri sasa muigizaji huyo aliyejaaliwa mvuto amekuja kivingine mwenyewe mwaka huu kwa kuanzisha kampuni yake ya movies na issue nyingine za productions. Habari za uhakika ni kuwa Kampuni ya kajala inaitwa “Kay Entertainment” na tayari muigizaji huyo anashuti filamu yake mpya ya kwanza kama producer na muigizaji kupitia kampuni hiyo. Filamu hiyo inaitwa “Laana” na director ni Leah Mwendamseke(Lamata). Ukiachilia mbali Kajala waigizaji wengine wa filamu hiyo ni pamoja na Gabo, Farida Sabu(Mama Sonia) na wengineo na hizo hapo chini ni baadhi ya picha za utengenezaji wa movie hiyo……………..

IMG-20140115-WA0004kajala na wasanii wakipitia script

IMG-20140115-WA0005Lamata, Gabo, Kajala na Farida Sabu(Mama Sonia) wakiwa on set

Usisahau kulike and share pia unatupata facebook .  swahili movies .com
pia follow us instagram  swahilimovies

Habari na picha kwa msaada wa swahili world planet blogsport