Muigizaji asieisha na vituko na mwenye skendo kibao hasa za kutoka na wasanii sasa avunja rekodi baada ya kukutwa amepiga picha na inaesemeekana Mume wa mtu na kuzitupia katika mtandao wa kijamii Binti huyo ambaye ni muigizaji kabla ya kutupia picha hizo inasemekana kuna tamthilia mpya ambayo ameanza kuigiza hukohuko Ujerumani sasa tumeshindwakubainisha kama picha hizi ni sehemu ya kazi yake ya uigizaji au ndio mpenzi wake mpya , licha wa mashabiki wake kumuuliza kuhusu picha hizi Muigizaji huyo akusema chochote huku minongono ikisema kuwa kujana huyo aliekuwa nae ni mume wa mtu na ni Muimbaji wa MUZIKI ,
Hivyo kama itakuwa ni kweli wako kwenye uhusiano basi Ashley Toto atakuwa anapenda kutoka na wanamuziki ukirejeakuwa na skendo nyingi na wanamuziki kama Bob Junior , Ali kiba . Diamond na wengine wengi ambao hakujibu chochote kuhusiana na skendo hizo.
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT : Here
Tupe maoni yako hapo Chini..!!