Muigizaji mkongwe wa filamu kutoka Vad avunja ukimya wa mda mrefu baada ya kutoonekana katika filamu za V.A.D Amerudi kwa nguvu zote na kuandika maneno haya katika ukurasa wake wa kijamii
“Ningependa kuwaambia mashabiki wangu kuwa sasa nimerudi rasmi katika kazi yangu ya filamu , pole sana kwa mashabiki wangu najua mmenimiss sana hamjaniona kwenye filamu nyingi zilizochezwa na kampuni yangu ya Vad film Production ,
lakini sikupenda iwe hivyo ila ilinibidi nichukue likizo kwani Mungu amenibaliki mtoto , ikanibidi nipumzike ili niweze kujifungua na kupumzika kwa mda ila kwa sasa hivi niko fiti na si mda mrefu mtaanza kuona tena kazi yangu asanteni sanakwa uvumilivu wenuna salamu zenu mlizokuwa mkinijulia hali , nawapenda sana mashabiki wangu” .Alimalizia kuongea msanii huyo mrembo mwenye makazi yake huko huko Denmark.
Angalia picha za Behind the scene za muigizaji Apolina kabla ya kupumzika kwa mda
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT :here
Tupe maoni yako hapo Chini..!!