Shilole Amchukua Yule Binti Alietoroka Kwao Kwa Sababu ya Kulazimishwa Kuolewa

 

wema_sepetu765 - Kopie

“Jaman kwa wale mbao leo mmeskiza leo tena ya clouds fm na  milipata kuskia story ya huyu binti hapa kwenye picha!

Kuwa ametoroka kwao Tanga kuja Dar kwa sababu ya kulazimishwa kuolewa akiwa na umri mdogo kiukweli niliposkia hivyo ikaniuma sana nikiwa kama mwanamke kama pia nikaona bora nimchukue mpaka hapo familiya yake itapoMua kujitokeza mm ni moja wapo ya changanoto nying nilizozipita nilipokuwa igunga watoto wadogo kubakwa kupewa mimba wakiwa wadogo na hamna sheria yeyote inayochukuliwA huko vijijin zaid ya kumalizana kifamily! Ili jambo la wasichana kuolewa wakiwa wadogo hata shule hawajamaliza linanikera mnoooo mnooo jamani dah! !

Hivi nyie naomba serikali itiemkazo jambo hili watu wenye tabia kama hizo hatua kali za kisheria zichukuriwe. Bint anaitwa upendo kiukweli anaupendo tup nae hapa anafuraha zote! Mm nikimuangalia ni sawa na bint yangu yaani ni kadogo kabisa dah! Nimejjifikia angewezaje kuishi na mume kwa umri pendo anatakiwa asome ili baadae elim yake imsaidie! Mm napinga ukeketaji wa watoto. Ubakwaji kwa watoto. Mimba katika umri mdogo. Na utoaj mimba.

Je ww???????

Imeletwa kwenu kwa hisani ya shishibaby”-Shilole alimaliza.

Pongezi kwa Shilole kwa moyo uliouonyesha kwenye jambo hili, Mungu akuongezee

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT :Bongo Movies

Tupe maoni yako hapo Chini..!!