Tanzia: watanzania wote wanajulishwa juu ya msiba mazishi ijumaa hii nchini Denmrak

 Tanzia/ Funeral
Tunawatangazia wa Tanzania wote kutakuwa na maziko ya Mtanzania mwenzetu Bi Fawzia Diwani Mathiesen kilichotokea Kolding Sygehus Tareh 27/1/15
Baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Maziko yatafanyika Ijumaa Tarehe 30/1/15
Vejle Nordre kirkegård
Havelodden 4. Vejle.
Saa 4 Asubuhi.
Baada ya maziko kutakuwa na chakula na kuwapa mkono wa pole wafiliwa , katika anuan hii Olivenvej 65. 6000 Kolding . Ukiskia tangazo hili mjulishe mwenzio. Ahsanten sana.
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT :   here

Tupe maoni yako hapo Chini..!!