UZINDUZI MKUBWA WA FILAMU DENMARK MASTAA LUCY KOMBA ,CLOUDS 112, CLARICE , SELEMBE TOKO WATAKUEPO

VAD FILM PRODUCTION IKISHIRIKIANA NA AIMUS INTERTAINMENT INAWALETEA UZINDUZI WA FILAMU ZAO MBILI MPYA FILAMU ZA KUJISAHU NA FILAMU YA QUEEN , kwenye uzinduzi huu kutakuwa na mambo mengi kama standup comedy itakafofanywa na mchekeshaji maarufu mtanzania MWALUBADU , pia mastaa wengi watakuepo kama LUCY KOMBA , CLOUDS 112, SELEMBE TOKO , CLARICESAFI , RIZOZ BABINGWA ,SAFARI LUKEKA , BLACK, TATU ,DANIEL,KAY MSABAHA JAZ MSABAHA NA WENGINE WENGIII

ILI KUWEZA KUHUDHULIA UZINDUZI HUU WAHI SASA NUNUA TIKETI YAKO ILI USIKOSE NAFASI , kushuhudia MASTAA WAKO WA ULAYA NA AFRIKA . VINYWAJI MZIKI NA MAMBO MENGI YATAKUEPO SIKU HIO YA TAREHE 31MWEZI WA 2 KATIKA UKUMBI WA SVERRIGGARDSVEJ 4,9520 SKORPING DENMARK KWA MAELEZO ZAIDI KUNUNUA TIKETI NA JINSI YA KUFIKA PIGA SIMU NAMBA +45628578656





XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX




https://www.youtube.com/watch?v=T4rz85WFVuQ&t=15s
https://www.youtube.com/watch?v=fQaSxnkPT3U