-
Naishi New York na Mziki nilianza mwaka 2011 . Muziki na fanya katikakundi la The D.R.C Mc boyz .kiukweli Mziki unalipa ila ninacho itaji nimaendeleo .kwasasa Sponser wangu ni Self Kuwa .Ambae ni producer wangu ndani ya Lab Ya Ukweli records
Kilicho nifanya ni anze Mziki ni Talent niliokua nayo yakuimba ku dance na kuhandika Mistari .
-
Pia Nimechoka Ningoma ambayo ita toka kwenye Valentine’s Day .
nawashukurusana Mashabiki wangu kwa ushirikiano mwema nawazidi kufatilia mambo yangu maana nina mengi ninayowahandalia . Nafanya mziki kwamapenzi yao .Pia On Valentine’s day nawatolean wimbo mpya yawa pendanao Duniani pote
mwanamziki Valentin Juma aka vee jay
http://www.youtube.com/watch?v=cwye59ReV2o
Usisahau kulike and share pia unatupata facebook . swahili movies .com
pia follow us instagram swahilimovies