Chidi Benz ameyaandika haya kuhusu ishu ya Diamond na Davido, Zitto na MwanaFA ni miongoni mwa waliolike.

 

Diamond DavidoKuna habari nyingi zinaandikwa sasa hivi kuhusu uhusiano wa Diamond na mwimbaji Mnigeria Davido ambae weekend iliyopita wakati mshindi wa BBA 2014 alipotangazwa kuwa ni Mtanzania Idris aliandika tweet iliyoanzisha tatizo.

Wengi walimuelewa kama kaidiss Tanzania kwa kumaanisha haikustahili kupata ushindi wa Channel O awards tatu alizoshinda Diamond na vilevile labda haikustahili ushindi wa BBA pia.

Sasa kutokana na kinachoendelea sasa hivi rapper Chiddi Beenz ameamua kuyatoa yake ya moyoni kupitia page yake ya facebook leo kama inavyosomeka hapa chini baada ya Watanzania kuendelea kumtukana Davido kwenye mitandao yake ya kijamii na hata reaction ya Diamond mwenyewe baada ya kushinda tuzo nyingine Nigeria.

Diamond NIGBenz

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT :http://millardayo.com

POSTED BY : Hamm Chande

 

Filamu za V.A.D zapamba Moto kwenye TV za Central Afrika Angalia hapa ratiba ili kuweza kuangalia filamu hizi kwenye runinga yako kama wewe unaishi Afrika

Kutokana na program ilivyoanza kuonyeshwa kwa filamu za Voice of Afrika in Denmark V.A.D   Film Production , na watu kufurahia filamu hizo na kuomba kuonyeshwa tena basi President wa VAD alikuwa na haya ya kusema .

10736333_10205184243636334_526044403_o

 

Habari njema kwa wana  Burundi, Uvira, Bukavu na Goma Nina furaha kubwa na kuwashukuru   watu wa Burundi  kufurahia filamu zetu kama ya IF I KNOW iliyokuwa imeonyeshwa katika Televion ya Taifa  ya Burundi , na kutokana watu waliipenda sana hivyo tuna mpango wa kuionyesha tena kipindi cha sikukuu ya Noeli  yani  Christmass kuonyesha filamu yetu nyingine ya TANZANIA  TO DENMARK  katika television hiyo hiyo ya Burundi na GOMA pia itaonyeshwa.

10422016_586066281527298_4534067310322332879_n

 
 Pia  tungependa kuwajulisha kuwa wasambazaji wa filamu zetu wataanza kusambaza kwenye maduka kuanzia tarehe  22.12.2014   katika sehemu mbalimbali kama    Bujumbura, Uvira, Bukavu na Goma.
10847023_10205330737418587_1320429757_n

 

 Pia mwezi huu nafikiria  wasambazaji hao wa filamu zetu  atasambaza  MOVIE kwenye TV KAMPALA. na UKO Butembo sehemu ya vyashara DRC Congo.
mengi watu wata pata mwaka ujao 2015 kama tulivyo wa julisha mwaka ujao watu wata pata vituo sehemu mbali mbali za  kupata MOVIE za V.A.D  ( Voice of Africa in Denmark)
974430_10205184116433154_2082364272_n

 

 kwa sasa kuweza kusikia na kuuliza mambo yote yanayousiana na kazi zetu au filamu zetu basi hakikiahsa haukosi kuangalia filamu zetu kwa muda huo tulioutangaza pia kufatilia vipindi vya redio  MESSAGER DU PEUPLE UVIRA ina weka vipindi vya V.A.D na watu wanauliza maswali  na kuweza kupewa majibu na maelkezo kuhusiana na kazi zetu .

Alimazia kuongea President wa V.A.D FILM PRODUCTION

photo.php

1016211_588742054593054_8966144655950343328_n(1)

 

 

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT :Here

POSTED BY : Hamm Chande