Kuna habari nyingi zinaandikwa sasa hivi kuhusu uhusiano wa Diamond na mwimbaji Mnigeria Davido ambae weekend iliyopita wakati mshindi wa BBA 2014 alipotangazwa kuwa ni Mtanzania Idris aliandika tweet iliyoanzisha tatizo.
Wengi walimuelewa kama kaidiss Tanzania kwa kumaanisha haikustahili kupata ushindi wa Channel O awards tatu alizoshinda Diamond na vilevile labda haikustahili ushindi wa BBA pia.
Sasa kutokana na kinachoendelea sasa hivi rapper Chiddi Beenz ameamua kuyatoa yake ya moyoni kupitia page yake ya facebook leo kama inavyosomeka hapa chini baada ya Watanzania kuendelea kumtukana Davido kwenye mitandao yake ya kijamii na hata reaction ya Diamond mwenyewe baada ya kushinda tuzo nyingine Nigeria.
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
Kutokana na program ilivyoanza kuonyeshwa kwa filamu za Voice of Afrika in Denmark V.A.D Film Production , na watu kufurahia filamu hizo na kuomba kuonyeshwa tena basi President wa VAD alikuwa na haya ya kusema .
Habari njema kwa wana Burundi, Uvira, Bukavu na Goma Nina furaha kubwa na kuwashukuru watu wa Burundi kufurahia filamu zetu kama ya IF I KNOW iliyokuwa imeonyeshwa katika Televion ya Taifa ya Burundi , na kutokana watu waliipenda sana hivyo tuna mpango wa kuionyesha tena kipindi cha sikukuu ya Noeli yani Christmass kuonyesha filamu yetu nyingine ya TANZANIA TO DENMARK katika television hiyo hiyo ya Burundi na GOMA pia itaonyeshwa.
Pia tungependa kuwajulisha kuwa wasambazaji wa filamu zetu wataanza kusambaza kwenye maduka kuanzia tarehe 22.12.2014 katika sehemu mbalimbali kama Bujumbura, Uvira, Bukavu na Goma.
Pia mwezi huu nafikiria wasambazaji hao wa filamu zetu atasambaza MOVIE kwenye TV KAMPALA. na UKO Butembo sehemu ya vyashara DRC Congo.
mengi watu wata pata mwaka ujao 2015 kama tulivyo wa julisha mwaka ujao watu wata pata vituo sehemu mbali mbali za kupata MOVIE za V.A.D ( Voice of Africa in Denmark)
kwa sasa kuweza kusikia na kuuliza mambo yote yanayousiana na kazi zetu au filamu zetu basi hakikiahsa haukosi kuangalia filamu zetu kwa muda huo tulioutangaza pia kufatilia vipindi vya redio MESSAGER DU PEUPLE UVIRA ina weka vipindi vya V.A.D na watu wanauliza maswali na kuweza kupewa majibu na maelkezo kuhusiana na kazi zetu .
Alimazia kuongea President wa V.A.D FILM PRODUCTION
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT :Here
POSTED BY : Hamm Chande
Subscribe youtube DEVOTHA MEDIA
To change your privacy setting, e.g. granting or withdrawing consent, click here:
Settings