Si muda Mrefu toka mwigizaji wa kundi la VAD Solange ajifungue mtoto wa kike mwishoni mwa mwaka jana , siku ya jana tena mwigizaji mwingine wa kundi hilo ajifungua mtoto wa kike . Tukiongea na mwigizaji mmoja wa kundi hilo alisema hakika hii ni baraka kwa kundi letu la VAD licha yakuwa tunapata watoto , pia wanweza kuwa waigizaji wapya na wakubwa baadae tuna furaha sana .
Muigizaji solange alipokuwa mjamzito
mtoto wa Solange DAVID
SOLANGE AKIWA NA familia yake
Habari ya furaha iliyotufikia kwa siku ya leo inatoka huko nchini Denmark kwa kiongozi wa kampuni la VAD Film Production Safari Lukeka ambaye mke wake pia ni mwigizaji wa movie kwa kampuni ya filamu nchini Denmark kujifungua mtoto wa kike.
Habari ihi ya furaha imekaribishwa vizuri sana na mashabiki pamoja na waigizaji wenzao waliomkaribisha mtoto huyu kwa furaha kubwa sana. Na sisi kama Swahili Movies tunamkaribisha mtoto huyu kwa furaha kubwa na kumpa mama Mzazi Claurice Safi na mme wake Safari Lukeka pongezi kubwa kwa kumleta kiumbe hiki duniani.
Mwigizaji Claurice Safi alipokuwa mjamzito.
Claurice pamoja na mme wake Safari Lukeka wakisherehekea Christmas mbele ya kumpokea mtoto wao
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT :Umoja Radio
Tupe maoni yako hapo Chini..!!