Mkali wa filamu scandinavia na ulaya kwa ujumla Muigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Big JJ FILM PRO , Big jj Olenga baada ya kujinyakulia tuzo siku chache zilizopita huko NORWAY sasa ameandaa filamu yake mpya inayokwenda kwa jina la PROBLEMS EVERYWHERE Ambayo ameifanya na wasanii wa marekani na kupanga kuizindua filamu hiyo ATLANTA Nchini Marekani , na kuwataka mashabiki wake wajiandae kwani filamu hiyo ni moto wa kuotea mbali .
Nyota huyo alionga,a kwenye filamu mbalimbali kama APRILS FOOL, NO FEAR aliowashirikisha wakali kutoka ghana ,TRY ME IF YOU CAN,BROTHER AND SISTERS, KILL OR BE KILLED na nyenginezo nyingiiiii. Angalia picha za behind the scene za filamu hiyo
hizi ndio picha za big jj akiwa norway kwenye tuzo
Big jj akiwa na tuzo yake kwa furaha
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more