Muigizaji na mmiliki wa kampuni ya filamu ya Big jj ameingia location tena akiwa na filamu mpya amiomshirikisha nyota kutoka Tanzania Lucy Komba , Big jj Aliandika haya kwenye ukurasa wake wa kijamii
Nae star huyo Lucy komba kutoka tanzania aliandika haya
Tunamshukuru Mungu tena anatusimamia katika kazi mpya ambayo tumeianza, kazi hii inafanyiwa shooting Danmark na Ghana kazi hii iko katika lugha ya kingereza kwa kuwa sasa tunaangalia soko la kimataifa, waigizaji ni Lucy Komba toka Tanzania, John (Bigjj) Toka Congo, Dabba toka Liberia, Frank Artus toka Ghana na Christabella Ekeh toka Ghana,
Cameraman and director: Dieu Benit, Chini ya kampuni ya Bigjj Olenga
Hizi ndio picha za behind the scene mashabiki mkao mkao wa kula
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more