Muigizaji Asende Fumbene Almaarufu kama The black aliejipatia jina kubwa katika nchi ya holland na Ulaya nzima kwa sasaa kwa nyimbo yake ya NILIVYOKUPENDA ; na kumpelekea kufanya show sehemu mbalimbali kama France , uk, Holland na sehemumbalimbali ,
baada ya kuona kuwa anakubalika sasa amaeachia kitukipya lakini bado hajaiweka hewani nyimbo yake hiyo na kuhakikisha anafanya Video ya hali ya juu angalia picha za Behind the scene za nyimbo hiyo .
The Black akiwa na Muigizaji wa NGG film Production Actress Bethlehem Zelalem
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT :here
Tupe maoni yako hapo Chini..!!