Muimbaji mkubwa wa injili wa Afrika Mashariki Mchungaji Solomon Mukubwa tayari ametua nchini jana tarehe 23 . natarehe 27 ni ibada ya kwanza na yeye kwenye kanisa la Holy International Christian Ministries Denmark (HICMDK).
kwa ajili ya Ibada pamoja na Tamasha kubwa la kusifu na kuabudu huku mamia ya watu wakialikwa , Akiandika haya kwa furaha kubwa ya kumpokea Muimbaji huyo Mchungaji Kapinga Dieudonné Mushagalusa aliandika hayo hapo chini .
Our first service with him Will be today Sunday 27th, July 2014 from 13:30 to 15:30.
This will be a free sunday for all. Come and test this supernatural anointing, and you will no longer remain the same.
Angalia hapa alichokisema Solomoni Mukubwa
https://www.youtube.com/watch?v=aiMZk68JurI&feature=share
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT :Here
Tupe maoni yako hapo Chini..!!