Anajulikana kama Annasiri Msangi au Mzaa chema na majina mengi sana kutokana na filamu anazocheza .Kutokana na uwezo wake wa hali ya juu ndio unaofanya waandaaji wengi kuweza kumtafuta hasa katika nafasi ya umama anayoimudu hasa ipasavyo na chini hapo ni baadhi ya picha akiwa location .
Mama huyo mwenye uwezo wa hali ya juu ukiacha filamu zote alizowai kucheza mojawapo ikiwa ya Marehmu kanumba NDOA YANGU bado yuko juu na hivi karibuni ameonekana kwenye filamukama KINYONGO iliyoandaliwa na Michael DUMA Pia hivi karibuni amecheza kama mama yake IREN UWOYA , filamu iliyoandaliwa na MTITU WILLIAM, akiwemo Gabo, Iren, na Haji Adamu itayotoka karibuni, filamu ni nyingi nimecheza mpaka nazisahau, na zitatoka mwenzi huu wa 5, ipo filamu ya Nyamayao nimecheza inatoka mwenzi huu pia alimaliza
Na hivi karibuni tarehe 3-4-2014 walizindua filamu mojawapo ambayo alicheza vizuri sana Filamu mpya inayoitwa The stolen dream uliofanyika Mwanza uwanja wa Ccm kilumba, uzindunzi huu ulisindikizwa na Wasanii wa Bongo movie, pamoja na wasanii wa Bongo Fleva,
filamu aliocheza na marehemu kanumba bonyeza hapa
https://www.youtube.com/watch?v=IYy10wJzwFE
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more