Big jj awataka wasanii waache roho ya wivu

Big JJ Muigizaji na mmiliki wa kampuni ya  Big JJ FILM PRO anayefanya vizuri scandinavia na Ulaya kwa ujumla kwa kazi zake nzuri za film  , amefikia hatua ya kuwataka wasanii wenzake kuacha wivu baada ya tatizo kubwa kutokea,    Big Jj alisema kuwa yeye anaweka Video kwenye youtube kusudi mashabiki wake waelimike na kuburudika bure kabisa ,

324691_250272421688331_819963892_o

lakini anasema waigizaji hawapendani baada ya kupata ujumbe kutoka kwa kampuni ya youtube  kuwa kuna watu wamelipoti kuwa video yake ni spam na kupelekea filamu hiyo kufungiwa ikiwa tayari mamilioni ya watu wameangalia, kikendo hiki hakikufurahishwa hata kidogo na Msanii huyu BiG JJ na ndipo alipoamua kutengeneza video ili kutoa ujumbe kwa wasanii wote kwa lengo la kuonyesha kuwa alichofanyiwa si sahhihi bonyeza hapa kuangalia hiyo video

https://www.youtube.com/watch?v=Fh_cLKNDa3c

 USHAURI KUTOKA SWAHILI MOVIES KWA WASANII  TUJIKUMBUSHE

Tukio hili sio mara ya kwanza kutokea huku ulaya kwani kutokana na makundi kuongezeka na kuwa na ushindani wa kikazi mkubwa unaoendelea kwa sasa kitendo cha kufungiana filamu youtube au trailer kimekua kikubwa sana na hata siku za nyuma kampuni ya VAD Ilishalalamika kufanyiwa kitendo kama hiki,

USHAURI

kufungiana Video sio solution ya kumshusha mtu au mtengenezaji FILM  kwani baada ya muda ataiweka na mashabiki wake watarudi palepale ila si jambo la kiungwana kwa nyinyi mnaofanya vitendo hivyo muwe ni wasanii au watengenezaji filamu au tu watu binafsi kitendo hiki sio kizuri kwani malipo ni hapa hapa duniani unapomsumbua mtu anayepoteza muda wake Mungu hakika atakulipa , bali kama wewe kundi lako au kazi zako unataka zipande kwa nini usifanye kazi bora na nzuri , au kuomba msaada kwa Big jj au makundi mengine usaidiwe .

885869_478841275498110_2004588571_oBig JJ on action

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more