Big jj akiongea kutoka unitéd State of America juu ya projekti mbili, yakufanya filamu zake huko msikilize hapa
Mi niko America kwa sasa nikifanya filamu zangu mbili kwenye miji mikubwa kabisa ya Atlanta na Georgia mu miji mikubwa kabisa anaoishi nyota wa music star usher raymond kuna mambo mengi katika filamu zangu hizi pamoja na uwezo wa hali ya juu tulioufanya lakini pia mazingira mazuri sana na technolojia ya hali ya juu.
Angalia picha hapo chini Big jj akiwa America
Usisahau kulike and share pia unatupata facebook . swahili movies .com
pia follow us instagram swahilimovies