Wasanii wa filamu nchini Tanzania wanaojulikana kwa jina la Bongo movies wakati wakifikiria kurudi kwenye michezo ya tamthilia wameamua kufanya maandano katika mkoa wa dar es salaam siku ya Jumatatu tarehe 23 mwezi huu.
Baadhi ya wasanii wa Bongo Movies
Akizungumza kwa niaba ya wasanii wenzake Issa Musa almaarufu kama Cloud amesema lengo la maandamano hayo ni kutokana na kuchoka na wizi wa kazi zao za kisanii na kutaka serikali isikie kilio chao na kutoa sheria kali kwa wale wote watakaobainika kuiba kazi zao .wakati huo huo jeshi la polisi kanda ya Dar es salam, Tanzania tayari imeisha toa kibali cha maandamano hayo.
Swahili movies inawatakia maandamo mema na yenye kuzaa matunda .
Usisahau kulike and share pia unatupata facebook swahili movies .com
pia unaweza follow us on instagram. swahilimovies