Category Archives: Movies

HATUJALALA NA MR NICE NI FILM TU: SOLANGE MSABAHA

Star wa movie nchini denmark awajia juu mashabiki wake wasiotaka kuelewa movie waliocheza na Mr nice.

      1231671_713164888700283_1079484579_nSolange Msabaha akiwa na uzuni

Hali hii za utata ilitokea baada za blog hii kuandika baadhi za part aliyocheya Mr nice na warembo hao wa v.a.d . habari hiyo iliyokuwa na kichwa cha habari , warembo wa vad wachanganywa na penzi la Mr nice . Ndipo hapo utata ulipoanzia

426416_600996803262374_1414397664_nTatu Daniel

Mashabiki wa kundi hilo la v.a.d linalokuja juu na  lililojipatia umaarufu Mkubwa nchini denmark   na nchi nyingi za ulaya na kote duniani kwa filamu nyingi zenye  utamaduni wa kiafrika pamoja na kukuza kiswahili na filamu kama   , Mistreated girl, Moyo Wangu , Tanzania to Denmark 1 , If i knew ,Dont look down to the poor  , na nyingine nyingi tu .

1391615_534162466672873_644130481_nDevotha Alfred akiwa kwenye pozi

Mashabiki hao Walikuja juu na kuanza kuwatukana warembo hao kuwa kitendo walichofanya cha kumpapatikia mwanamuziki mkubwa waliekuwa wakiigiza nae si kitendo kizuri bila kujua ile ilikuwa ni FILAMU tu na hakuna ukweli ndani yake ,

1523644_1400629200181055_881552633_oVumi Vane akiwa location

Lakini mastar hao hawakuonekana kujali sana  kutokana kuwa hakuna ukweli ,lakini kadri siku zilivyosonga ndipo mashabiki hao walizidi kushambulia kurasa za FACEBOOK za mastar hao wa v.a.d na kuwafanya wakose tena amani ndipo msanii Solange Msabaha alipowatolea uvivu na kuwajia juu kuwa wao ni wasanii na kazi wanayofanya ni kuelimisha  hivyo kilichoandikwa kwenye blog hii mara ya kwanza ni hadithi tu ya kwenye Filamu waliocheza na Mr nice na si vinginevyo .  Pata machache kutoka kwa msanii Solange  Msabaha

HABARI YAKO

Sio nzuri hata kidogo

TATIZO NI NINI MBONA UNANITISHA

Nilipenda kuongelea kuusu filamu iyi mpya tuliyo cheza na Mr Nice kwasababu watu wengi wanaongea kwamba  mimi Solange Msabaha , Devotha alfred,Vumi vane na Tatu Daniel tulifanya mapenzi yakweli na Mr Nice wakati sikweli, nilipata Message nyingi Sana watu wananiuliza kwa nini sisi tumejidhalilisha kwa kufanya mapenzi na Mr Nice wakati si kweli . Kwaiyo napenda watu wajue kwamba ni filamu tu narudia  tena na tena HATUJAFANYA MAPENZI NA Mr nice   .   kwasababu kuna jamaa mmoja alikuwa akinisisitiliza kwamba nikweli maana aliona picha  ambazo tulikuwa location tunashuti ,kama ambayo mimi na  Mr Nice tukiwa jikoni twapika ugali sasa jamaa kafikiria eti nikweli kabisa kumbe ilikuwa tunashuti tu .

1504125_1401552413422067_1240811111_nVumi Vane akiwa na Mr nice kwa ajiri ya kushuti

 POLE SANA KWA MASWAHIBU HAYO

Asante ila  bado sijapoa maana hawa watu hawataki kabisa kuelewa kuwa sisi ni wasanii tu na kila kitu tunachokifanya ni kuigiza kwa lengo la kufundisha , maana sisi wengine tumeolewa na tuna familia zetu  na tunamueshimu Mr nice kama msanii mwenzetu na kama kaka yetu,  na ndugu zetu na tunawaeshimu sana na wao wanatueshimu sasa wanavyosikia mambo kama haya wanajisikia vibaya kabisa .1476365_778923798791058_435752319_nSolange akiwa na Mr nice wanashuti movie Location

Sababu tu wao wanavyokazania kuwa sisi tumelala kweli na mr nice kwa kweli nashindwa kuwaelewa .na  naona  mtu kuwa msanii kunatokea  vitu vingi na kwasasa naona kuwa msanii ni vita vikubwa Sana kwa sababu inaomba mtu awe mvumilivu  Sana1486595_743010015727718_1778987873_nTatu akiwa na Mr nice wakishuti movie

swahili movies inawapa pole sana wasanii wa v.a.d kwa maswahibu hayo walikutana nayo kutoka kwa mashabiki wao ,nashukuru sana solange kwa ushirikiano wako na nawatakia kazi njema ya kuelimisha jamii na kutangaza lugha yetu ya kiafrika.

Usisahau kulike and share pia unatupata facebook    swahili movies .com
pia unaweza follow us on instagram. swahilimovies

KIDOLE KIMOJA HAKIWEZI FANYA KAZI ZOTE by Bigjj Olenga

Kutana na msanii wa film pia ni mkurugenzi wa kampuni ya BIG JJ FILM PRO  iliyopo denmark  na kwa kifupi haya ndio machache Usiyoyafahamu kuusu   BIG JJ

1073353_530547543660816_24134320_obig jj location

Jina langu kamili naitwa  John philiph  natokea Lubumbashi  Congo. ila kwa sasa naishi hapa LEMVIG , DENMARK

JE UMESHAOA AU TUAMBIE KIFUPI KUUSU FAMILIA YAKO

Nimeoa na nina watoto mapacha ambao nao nafanya nao kwenye kazi yangu ya film ,wote wawili ni wakike .

Hongera sana ,sasa ningependa kufahamu ni filamu ngapi mpaka sasa umeshafanya

Nilishacheza film 3 na kucheza film 2 nawasanii wengine majina ni , Nonsense ,Temptation , woman need the truth ,Tears of money ,Remember God

885869_478841275498110_2004588571_oBig jj on set

615426_423416987707206_1296633428_o

545324_420497631332475_1976227286_n

1488372_592622740786629_1065823902_nBig jj na crew yake location

 Matatizo gani unakutana nayo kwenye kazi yako

Matatizo  yako mengi lakini mimi sifati ayo, nafanya kazi yangu kwa nguvu mpaka nifike Hollywood,  kwani   watu hawajui kama kidole kimoja akiwezi fanya kazi zote

1474891_592619300786973_1653168891_nMaria

1503721_592619557453614_1818109921_nSisi on scene

 Nini mipango yako ya baadae

Mipango yangu ya baadae nataka kufanya kazi na watu tofauti ,watu wenye vipaji.  Pia  napenda mtu yoyote, kama vile napenda kampuni yangu,  na watu tunaofanya kazi pamoja  nawapenda sana, sina la  ziada la kusema.

Swahili movies  inashukuru sana Bigjj Olenga  kwa ushirikiano wako.. tunakutakia kazi njema ,pata habari zaidi tembelea  facebook page yetu swahili movies .com pia unaweza tufollow instagram swahilimovies