HATULALI KWA AJILI YA MASHABIKI by Alex Bikorimana

Naitwa Alex Bikorimana   namshukuru mungu kwa kua  nimeoa na nina mtoto mmoja .nimeanza kazi ya sanaa mwaka 2008 kwenye theatre  kanisani na  kwenye sherehe mbalimbali !Mwaka 2011 ndipo tumeunda group ya film nchini Holland

1533166_661473847227313_1991877468_nAlex na mkewe betty ambaye pia ni muigizaji

Group  yetu inaitwa NGG PRODUCTION ambayo  iko hapa holand na tulianza tukiwa tumeanza tukiwa wasanii watano na kwasasa tuko 21  Mimi ni kiongozi mkuu wa group hiyo. Kwasasa tumeishaigiza movie2, UMZANIAE KUMBE SIYE na WHY FACEBOOK ambayo bado iko studio

kwenye hii movie why facebook kuna mengi sana ni story ambayo inafunza na inaonesha uzuri wa facebook na ubaya wa facebook

1608583_661475223893842_779018194_nSOLANGE & SANDINE

1528084_661474637227234_1333804565_nCAMERAMAN BYAMS

Asante sasa wewe ni msanii na mke wako pia ni msanii .imekuaje wote mkawa kwenye fani moja. Je kazi inafanyika vizuri kweli maana shooting za filamu  zina mambo mengi

ahahahah kama ujuwavyo usanii ni kazi kama zingine ,nilipojadiliana na mke wangu kuhusu swala ya usanii alipenda sana na kabla ya hapo mimi ni cameraman nilikuwa nikisafiri tena na nnje ya nchi hajawai kuwa na tatizo kwahilo!

1608509_661474860560545_302430445_nCAMERAMAN PETER

Haaahaa ila inaitaj ikipaji .sasa wewe ulianza kuigiza alafu mke wako nae akaingia .wewe ulimpa nafasi sababu wewe ni kiongozi au na yeye anakipaji alishaanza kuigiza kabla. maana watu wengi wanawalalamikiaga viongozi wa makundi au waandishi wanawapendeleaga ndugu ,marafiki au wake zao .Ebu niondolee utata hapo mashabiki wako  waelewe

1543084_661471803894184_1799995986_nhapo tulikuwa location 1- omba Bukuru katikati director Emanuel mwisho mimi

1528084_661474637227234_1333804565_nwanaume : wakwanza RAMA wa2 ni OMBA wanawake nyuma BETTY mbele BLANDINE

1552833_661472380560793_1343237226_nwanaume : wakwanza RAMA wa2 ni OMBA wanawake nyuma BETTY mbele BLANDINE

ahahaha hapo mwanzo nilikwambia kama group tumeanza tukiwa watu wa 5 kati ya hawo wa 5 mke wangu pia yuko ndani wala yeye hakuingia kwenye group sio kwasababu  ya uongozi nilio nao !!na wasanii wengine tulioanza nao ni GABY KIHOTA ,BETTY ZELALEM ,ANTOINNET ROSI ,THIERRY LWABOSHI

Sasa mwaka umeanza na kazi mpya imemalizika .mashabik iwategeme nini zaidi kutoka kwenu Mna mipango gani yabadae ya kundi Kwa mashabiki wenu

Mashabiki wangu wategemee vitu vizuri sana tofauti na wanavyowaza kwaniabaya group mashabiki wangu wakae wakijua kuwa hakuna siku hata moja tutakuja kuwahangusha kikazi hatulali kwasabu yao! mwaka huu 2014 watajionea wenyewe

Usisahau kulike and share pia unatupata facebook .  swahili movies .com
pia follow us instagram  swahilimovies