HOMA YAMSUMBUA MKURUGENZI WA TWALEB ENTERTAINMENT YA DENMARK

1491329_390558261089385_838402233_oACTOR NA MENEJA ABOU KHERMIS TWALEB

SWAHILI MOVIES ILILAZIMIKA MUMPIGIA SIMU YA DHARULA MUIGIZAJI NA MKURUGENZI WA  TWALEEB ENTERTAINMENT BAADA YA KUANDIKA   UJUMBE UFUATAYO KATIKA UKURASA WAKE MMOJA WA KIJAMII

Hi my FANS !!!
I’M SICK…”ON  BED”…. from Sunday, but starting getting well “THANKS TO ALLAH”

 TULILAZIMIKA KUMPIGIA SIMU LAKINI ILIKUWA IKIITA BILA KUPOKELEWA NDIPO BAADA YA MDA TUKAMPATA NA MAZUNGUMZO YALIKUWA KAMA HIVI

 

1533437_392682537543624_1949734859_nAbou na Lucy Komba behind the scene ndani ya African BOy

1551681_422957367849474_1408049178_n
siku chache kabla hajaumwa akiwa na EDITOR  na ndio cameraman mkuu wa MOVIE YA “AFRICAN BOY” hapa Wakiipa baraka za mwisho “TRAILER” ya Movie hiyo kabla hatujaiweka HEWANI siku chache sana zinazofuata….!!!

1926632_431709373640940_543156777_nPicha hii alipiga Abou na rafiki yake jumamosi kabla ya kuanza kuumwa jumapili

KAKA NAKUPIGIA SIMU IPO KIMYA UNANITISHA NINI ZAIDI

1947669_432643010214243_1323467071_nAbou hali yake ya leo

ooh..pole sana kwa kunikosa..nilikuwa niko kitandani na simu niliisahau bafuni…aaah bwana nimepata homa kali sana ghafla tu usiku wa kuamkia jumapili .na ni Homa za usiku na kifua/ mafua makali sana ambayo yameniweka kitandani  nikiendelea na dose ya dawa . “Influenza” na kifua kunibana sana…hivyo niko kitandani kwa siku tatu..nimekuwa kwa Doctor wangu na nimepewa dawa kali sana ..ila zinanichokesha mwili sana….leo kidogo naweza kuhisi afadhali kidogo sana…mwili wote utazani nimepigwa…Thanx kwa kujali

HATARI SANA POLE SANA

Thanx ..nashukuru mungu leo naweza hata kula kidogo…ilikuwa ni taabu sana..

BAADA YA SIKU MBILI YAANI LEO TENA TULIONGEA NAE KUJUA HALI YAKE

KAKA VIPI UPO UNAENDELEAJE LEO

Shukran nipo bado nipo on bed still sick, kuumwa ….kuumwa ??? aaah biashara mbaya sana..sina raha kula kwa taabu..!! ha ha ila nawashukuru mashabiki wangu wamenipigia simu mfululizo kunipa pole na watu mbalimbali, wakinitakia afya njema hasa happy mtui wa Tanazania nashukuru sana

SWAHILI MOVIES INAMPA POLE MENEJA HUYO NA MUIGIZAJI NA KUMUOMBEA APONE HARAKA, GET WELL SOON

Usisahau kulike and share pia unatupata facebook .  swahili movies .com
pia follow us instagram  swahilimovies