I dont want to sleep around with different girls what i want is to save God: Frederic Joshua

Kutana na mwanamuziki wa nyimbo za injili anayefanya vizuri ulaya Frederic Joshua/JosuE Kamili ni mkongomani anayeishi Ireland   Cork ,ni bacherol mtanashati  na mpaka sasa baadhi ya nyimbo zake alizofanya   za Gospel  Music zinafanya vizuri na kutufanya ,Swahili movies  kumuhoji kujua  machache ya  kutoka kwake

1623976_410190889116145_49160229_oGospel Musician  Frederic Josue KAMILI kwenye mazoezi

ULIANZA  LINI MUSIC  NA MPAKA SASA UMESHAFANYA KAZI NGAPI

Nilianza   music  Tangu niko miaka 8 Kwenye sunday school kanisa 5eme CELPA Filadelphia BUKAVU DRC  . Pia Nimesha record nyimbo 15,nani kafanya featuring na some South African DJs kwenye album Zao Dj BlackSoul Na KUBU MUSIC Nyimbo kwasa na direct na coordinate choir kwenye kanisa ninalo shiriki Cork Ireland niko na shoot video hambazo zitatoka huu mwaka nyimbo zangu ni   1.My God is Good, 2 Nina Rafiki, 3.Nyamuzinda,4 .BukavuEnyanya,2. Doom’sday…6. FreeDRC

1060398_410190355782865_280958864_nGospel Musician  Frederic Josue KAMILI kwenye pose

Nashukuru Mashabiki wanani support sababu ninawapa nyimbo za habari njema,wengi wao wakristo,nawapa maneno ya hope nakujipa moyo pia kuabudu,napia naimba kwalugha mama MASHI na kiswahili ,soo kabilaa langu lakishi huwa wana support saana kuona nafanya Rap music kwa luga la mashi na kiswahili

KITU GANI KIMEKUFANYA UFANYE HIP HOP SONGS NA SIO MTINDO MWINGINE

Nafanya Hiphop sababu tena nilitaka niguse vijana kuwapa maneno yenye positivity ,apana matusi,na gangester rap wanayo fwata toka waigizaji wa secular music ,Mziki naimba style zote lakini niliguswa tangu nilipokua mtoto na style ya ama genre ya hiphop sababu hiphop inayo energy ya ajabu saana pia message inapita bilashida nawatu huwa wako makini saana

1781264_410190879116146_1390695939_nGospel Musician  Frederic Josue KAMILI akiimba kanisani

WEWE NI KIJANA MTANSHATI TENA NI SINGLE NA UNAFANYA GOSPEL MUSIC UNAJIEPUSHA VIPI NA VISHAWISHI , AU UNA MPANGO WA KUOA

Kuoa ni wish yangu natena sababu mimi nafanya mziki wa kikristu inabidi tabia yangu imupendeze boss wangu Yesu kristu, kuoa itaniepusha namajaribu sana sana i dont want to  sleep around with different girls what i want is to  have a family,….My wish is to touch people and make a difference with my music

1743341_410190359116198_1888961475_nGospel Musician  Frederic Josue KAMILI kwenye pose

It’s not all about money naji support mimi mwenyewe kipesa ninapo record ama ku shoot video ,kwakumalizia nilitaka ni shukuru big brother wangu Pac Kalenga na company yake ya FlashBack studio kwa video ambazo wako wakinifanyizia, pia nashukuru kwa swahilimovies  na waandishi wa hii blog Mwenyezi Mungu awazidishie

http://www.reverbnation.com/fredericjosuekamili

1623904_410189522449615_1413339512_oGospel Musician  Frederic Josue KAMILI kwenye pose Ireland

 

TEMBELEA PAGE YAKE KUSIKILIZA KAZI  ZAKE  LINK HAPO CHINI

http://www.reverbnation.com/fredericjosuekamili

swahilimovies inamtakia kazi njema katika kutangaza habari njema

Usisahau kulike and share pia unatupata facebook .  swahili movies .com
pia follow us instagram  swahilimovies