Wimbo wa king fanatic wachezwa kwa mara ya kwanza kwenye tv ya uholanzi

Muimbaji wa Muziki  wa kizazi kipya Daktari wa mistari ameonekana kuwa na furaha ya kupitiliza baada ya wimbo wake  wa SLOW SLOW BABY na  SITAKI MANENO kuchezwa kwenye television ya uholanzi , ikiwa ni mara ya kwanza kwa wasanii chipukizinchiniuholanzi kufanikiwa kurusha video zao kwenye televison , kwa kuonyesha furaha yake aliandika hivi .

10411758_547396605385906_367053213937798201_n

Thanks so much AFTV  for broadcasting our song on your televison , proud to be african , we believe in strugle.Alimaliza na kwa sasa yuko kwenye kumalizia shooring ya nyimbo yake mpya aliomshirikisha mwanadada kutoka ujerumani tutakuletea habari zaidi pindi single yao hiyo itakapokuwa tayari .

 

10436199_547396578719242_6884294681225680310_n 10557457_547431065382460_4734740109500030966_n 10560346_548329778625922_2569345373832831500_o

bonyeza hapa kuangalia nyimbo hizo zilizorushwa kwenye tv ya uholanzi.

https://www.youtube.com/watch?v=lsNZQ3UQiSA&feature=youtu.be

https://www.youtube.com/watch?v=UgU6CiftPGE&feature=youtu.be

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT :here

Tupe maoni yako hapo Chini..!!