MAREKANI KUCHUKUWA WATU 32,000 KAMBINI NYARUGUSU KIGOMA-TANZANIA

1780292_473542862752328_1744131436_o

Serikali ya Marekani yapanga kuhamisha idadi ya wakimbizi 
wapatao 32,000 kutoka kambi ya wakimbizi wa Nyarugusu kuanzia 
mwaka huu wa 2014.

Hayo yamesemwa naye waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania 
Mh. Mathias Chikawe wakati wa mahojiano na waandishi wa 
habari jijini Dar es Salaam.

Hayo yamesemwa naye waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania 
Mh. Mathias Chikawe wakati wa mahojiano na waandishi wa 

habari jijini Dar es Salaam. Amesema wakimbizi watakaohamishwa ni wale raia waburundi na 

congo DRC. Naye msimamizi wa UNHCR Tanzania Bi. Joyce amesema kuwa 
mpango huo tayari umekamilika na wameanza mahojiano kwa 

wakimbizi wa kambi hiyo ya Nyarugusu ili kupata idadi hiyo inayotakiwa kuhamishwa nchini Marekani.Naye msimamizi wa UNHCR Tanzania Bi. Joyce amesema kuwa 
mpango huo tayari umekamilika na wameanza mahojiano kwa 

wakimbizi wa kambi hiyo ya Nyarugusu ili kupata idadi hiyo 

inayotakiwa kuhamishwa nchini Marekani. Wakizungumza na Umoja Radio kwa nyakati tofauti wakimbizi wa 

kambi ya Nyarugusu wamepokea kwa furaha tangazo hilo la 
kuhamishwa kwani wengi wao wamepita kwenye matatizo 

mbalimbali ya kifamilia, kijamii n.k,.. Ikumbukwe kuwa tayari UNHCR Kasulu imebandika vipeperushi 

kambini Nyarugusu kwa kupiga vita swala la rushwa wakati wa 
mahojiano ya kuwapeleka wakimbizi wa Nyarugusu katika nchi ya
tatu.

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT : Umojaradio.blogspot

Tupe maoni yako hapo Chini..!!