Meneja wa v.a.d Rizos Babingwa akutwa amelewa tilalila

Meneja wa kampuni  ya film inayofanya vizuri ulaya kampuni ya v.a.d  amekutwa na camera zetu za swahili movies akiwa hoi hajitambui  kwa pombe,  chanzo chetu kinasema meneja huyo alijikuta  akinywa na kufikia hatua ya kutokujitambua  baada ya kupata habari kuwa raisi paul kagame amefariki ,na yeye akiwa kama mcongo anawakilisha wacongo wenzake……. tumeshindwa kupata chanzo kamili kama ni kweli sababu ni hiyo au kuna sababu nyingine  kutokana kuwa bado hajarudiwa na fahamu mpaka sasa….

601819_528439073879510_1367208767_nMeneja Rizos Babingwa on pose

6727_508582155865202_395846960_nMeneja Rizos Babingwa akianza kuchagua kinywaji kabla ya kupombeka

1374723_570882249667561_1185730687_nMeneja Rizos Babingwa akiwa hoi baaada ya kupombeka

1011779_10200668521595332_1291806481_nRaia wa congo wakisherekea kusikia Raisi paul kagame amefariki

Usisahau kulike and share pia unatupata facebook .  swahili movies .com
pia follow us instagram  swahilimovies.