Msanii wa Siri ya mtungi Daudi Michael Duma afiwa na mama yake mzazi

 Msanii anayefanya vizuri  Tanzania katika nyanda ya filamu na Tamthilia ya  SIRI YA MTUNGI  DAUDI MICHAEL DUMA amefiwa na mama yake mzazi MARIA DAUDI na kwa habari tulizopata msiba utafanyika nyumbani kwao   MABIBO MAKUTANO OASIS BAR    R.I.P MAMA YETU MARIA DAUDI. 

994816_129842780560275_2131296823_nDAUDI MICHAEL DUMA

kwa habari iliyotufikia kwa sasa Duma yuko katika hali ya  majonzi makuu kumpoteza mama yake mzazi, Swahili movies.com inampa pole na kumuombea uvumilivu katika kipindi hiki kigumu anachokipitia yeye na familia yake

  Hizi ndio habari tulizonazo kwa sasa ila kwa habari zaidi tutawaletea tutakapojua nini kinaendelea , kwa watu watakaotaka kujumuika kumpa pole piga namba ya simu hapo chini utafika mahali msiba ulipo  +255717 957 507

 

1972514_534689583312781_2110636871_nkava ya  tamthilia ya siri ya  Mtungi aliyocheza DUMA

SWAHILI MOVIES INAMTAKIA POLE KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU YEYE NA FAMILIA YAKE

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more