Nabii hana Heshima kwao by kakacool Byams G. A. S Pro president

Tuambie historia yako ya Maisha na kipaji chako cha Muziki kwa Urefu

Watu wana niita KAKA  COOL Byams  ,Jina lenye mama yangu ali nipa ni Byaunda Mchimbwa linalo maanisha      Apendavyo Mungu ndivyo afanyavyo.(mapenzi ya Mungu)

 

10559208_803223016368267_553600005_n

kaka Cool Byams  akiwa kwenye pozi

Mimi ni mwimbaji tena president wa G. A. S Pro   inayo maanisha Gospel Production.
yaani kazi ya ku record video clips, movies na Audio music  za kuelimisha jamii na pia za ki kristo.  nchini Holland

Nime zaliwa ndani ya familia ya   kikristo tena yenye inayo fahamu sana kuimba gospel,
ijapo familia yangu tunajua kuimba, hakujawai mtu yeyote kati yetu kusambaza uimbaji

 

969174_602347686452171_487326669_n

GABY muimbaji pamoja na kaka cool

Kitu gani kilikupelekea kuimba Gospel Music
Niliona  kuimba nyimbo za   gospel ni mahubiri so  nikaona acha ni wape watu angalau maneno fulani ya biblia na  jisi tuna weza kujilinda ndani ya dunia hii yenye walimwengu wa baya.

Naweza kusema mimi lakini si mimi tu ninaye ndugu yangu Tunaye saidiana naye na kwa ukweli naye pia ali pewa kipaji     cha kumwimbia Jehova. Kwa jina anaitwa Gaby au Mauris, yeye ana panga sauti vizuri sana na kabisa G. A. S Pro ni yake pia.
Hata tukienda kwenye studio mbele ya kuimba uwaga na mwangalia sana na kumuuliza hapa tu teremshe   wimbo vipi, utakuta tayari anayo    solution, yaani naweza sema yeye ni solutionman ndani ya G. A. S   Pro. na hata nyimbo zingine  uwa tuna andika naye. Mungu ambariki.

Changamoto gani unakutana Nazo , Watu wanapokea vipi kazi zako

Kusema kweli nabii ana heshima kwao lakini, sababu napendelea zaidi maneno ninayo imba watu waitumie   lakini nimeona uwaga wana dharau zaidi na kutazama huyu ni nani anaeimba hivi badala  ya kuangalia MUNGU ANASEMA NINI KUPITIA NYIMBO ZETU.

Nyimbo zako Umeshaweka kwenye Internet au watu wanazipata vipi
Sija wai kutia nyimbo zangu kwenye public namaanisha kwenye internet, sababu nilikuwa bado sijawa tayari kwa kuhanza  kazi yangu

Nimewai kupiga kwenye uzinduzi wa NGG- Production, na watu wali penda sana iyo ili nipa nguvu zaidi za kusonga mbele na kumshukuru Mungu zaidi. Mungu awa bariki pia

Ila kuanzia leo mpenzi wa gospel, nimekuja na nguvu nyingi za roho mtakatifu kwa ku kufurahisha zaidi sana

Una mpango gani wa kazi zako za baadae
kwenye mziki wa gospel.  Nita kuletea albam mpya inayo itwa 100% MAMBO YA MUNGU (100 percent mambo ya Mungu)
na albam iyo bado aija kwisha ila nime kuletea angalao kipande cha concert video ya wimbo wa kwanza unaoitwa Worship :Hakuna Mungu kama wewe na
kipande cha audio cha wimbo unaoitwa Alleluya Amen.

Uki penda kwenye sherehe yako ao kwenye ukumbi wowote ule kupata mziki wa gospel niko tayari ni contact mara moja kwenye:
byaunda@gmail.com, 0644258376 of kwenye facebook: https://www.facebook.com/KAKA.COOL.BYAMS

https://www.youtube.com/watch?v=iAIO5XAG-mQ

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT : Here

Tupe maoni yako hapo Chini..!!