kutana na Director of the Director Ally dex Lulenda ambaye kazi zake zinafanya vizuri ulaya na africa kwa ujumla , anasema alianza kazi zake za sanaa mwaka 2011 nchini denmark na alianza kama muigizaji lakini baada ya kuona anamudu uigizaji akajikita kwenye directing, ambapo ilimlazimu kuingia shule Maarufu ya film nchini denmark inayojulikana Potemkin Film College ili alisomea Actor, Writer, Cameraman and Editor ili kuweza kufanya kazi zake kitaalamu , lakini Director huyo pia ni mjuzi wa kupiga gitaa . pata mawili matatu .
Director of the Director Ally Dex Lulenda
Mpaka sasa nimeshadirect na kushuti movie zaidi ya nane ikiwa ni pamoja na Moyo wangu, Passport Love, Mistreated Girl, If i knew, Dont look down to the poor, Tanzania to Denmark ambayo tumefanya na Lucy Komba na kwenye movie hizo nyingine nimekuwa kama mwandishi, nyingine cameraman na nyingine nimeigiza na nyingine nimedirect na kushuti.
Hongera sana Director Ally, kwa kazi nzuri, Wewe umefanya kazi nyingi ni changamoto gani ulizopitia katika kazi zako hasa Directing maana directing sio kazi ndogo navyofahamu.
Asante sana , hiyo ni kweli kati ya uandishi , uigizaji , shooting , directing ni kazi ngumu zaidi na changamoto ni kubwa sana kama wakati mwingine muigizaji unapomuelekeza mkiwa location yeye anakuwa na hasira haraka na kushindwa kufanya kile kinachotakiwa , pia baadhi ya waigizaji hawa sikiyi ni kazi kubwa sana
Ally dex lulenda kushoto as cameraman Akishuti Moyowangu with frank, Ashley and Kay
Hebu tuambie sasa nini mipango yako ya baadae, mashabiki wako wategemee nini
mipango yangu ya kazi ya baadae ni kwenda juu na kazi yangu na kufanya movie nyingi zaidi
Director Ally, kay na Richard location
Director Ally akifanya setting ya light kwa ajiri ya shooting
Director Ally katikati akidirect music studio
Director Ally akishuti movie PASSPORT LOVE
Director Ally akiwa kwenye pose
Director Ally akiwa kwenye pose
Director Ally akiwa na wasanii zawadi , Lucy Komba na kay
Siku chache zilizopita tumeona umebadili jina kutoka D irector kwenda Director of the Director , mashabiki wako wangependa kujua nini hasa maaana ya kubadili jina
Nimebadilisha jina kutoka Director kwenda Director of the Director kwa sababu mashabiki wangu watarajie kazi za juu zaidi mwaka ujao kuna kuja # fleche kizingala,ndiyo mashabiki wangu wasubiri # fleche kizingala # ambayo inakuja mwaka 2014
Swahili movies inashukuru sana Ally Dex Lulenda kwa ushirikiano wako.. tunakutakia kazi njema.
Usisahau kulike and share pia unatupata facebook . swahili movies .com
pia follow us instagram swahilimovies.