SHEREHE ZA HALLOWEEN NI ZA MASHETANI /ASEMA YOUTUBER /VLOGGER FREDERIC KAMILI

Mwanaharaki Frederik kamili Mcongo anaeishi Cork nchini Ireland , Apingana na utaratibu wa watu kusherehekea sherehe maarufu duniani za HALLOWEEN Asema sherehe hizo ni za mashetani , hata mavazi pia ni ya kimapepo na mashetani , Msikie zaidi hapa chini akiongelea kuhusu sherehe hizo , usisahau kusubscribe kwenye chaneli yake kulike na kushea

Wewe una mtazamo gani juu ya sherehe hizi ni sawa watu kusherekea unafikiri zinausiana na mashetani , nenda ukomenti kwenxye chaneli ya frederik kamili tuweze kujadili zaidi, Asante

kuangalia video zingine za Frederik kamili cheki hapa chini

ttps://www.youtube.com/watch?v=-3E7LmY7GSY