Boyfriend wake Jackie ambae ni msanii wa bongofleva Jux ameongea kwenye Exclusive interview na millardayo.com Jan 13 2014. Baadhi ya maswali aliyoyajibu kwenye video hapa chini ni pamoja na Wameongea lini mara ya mwisho? Jack anasemaje? Jack alikua wapi wakati wanaongea? yuko nchi gani? anarudi lini bongo? na mengine….
Hii ndo picha iliyo na ujumbe aliopost Jux mara baada ya kuongea na Jackie ambaye kwa maelezo yake hajui kinacho endelea.
Usisahau kulike and share pia unatupata facebook . swahili movies .com
pia follow us instagram swahilimovies
pia follow us instagram swahilimovies
Habari kwa msaada wa AYOTV