Huyu ndio muigizaji anaeongoza kwa kupigilia pamba katika swahili movies europe na kauli hii imetolewa na baadhi ya mashabiki wake ambao wameshindwa kuvumilia na kuamua kumpa pongezi mwanadada huyu mrembo ,naimai kila atakayeona hizi baadhi ya picha zake atakubaliana na mashabiki wa mwanadada huyu,
Blandine wakengo ni Muigizaji mwenye asili ya Kongo ambaye anaishi nchini Holland , ni muigizaji katika kampuni ya NGG fILM Production kwa wapenzi wa europe swahili movies hili jina sio geni kwao kutokana na filamu ambazo amecheza , kama TATIZO MKE WA KAKA; UMZANIAE NDIO KUMBE SIYO ,
MWANZO WA MWISHO NA WHY FACEBOOK Ambazo zote hizo amecheza kama kinara wa filamu hizo zinazopatikana youtube na kinachomuongezea mvuto ni umahiri wake wa kuongea kiswahili fasaha kwenye filamu zake licha ya kuwa yeye ni mkongo Angalia baadhi ya picha zake na trailer ya filamu yao mpya ya WHY FACEBOOK.
Hii ni moja ya filamu aliocheza Mrembo huyu BLANDINE WAKENGO
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT :here