The black – Nilivyokupenda

Kutana na mwanamziki wa kizazi kipya kijana mtanashati , aliyebobea kwenye music lakini pia ni film director na THE BLACK ndio jina analotumia kama A.K.A  jina lake halisi ni Asende Fumbele

1782129_732275803462829_1851441883_n musician Asende fumbele a.ka. the black

 Nimedirect movie mbili Msahau kwao na ya pili  Tatizo mke wa kaka zote ambazo trela zote zinapatikana you tube, Nimefanya nyimbo tano ila hii ndio nimetoa mziki nyingi nimeshirisha  watu wengine ila hii tu ndio nimefanya mwenyewe. asende fumbele , mkongo, Holland HUU MWEZI ZITATOKA nyimbo zangu nyingine mbili. na hii ntaifanyia remix

KITU GANI KIMEKUFANYA KUINGIA KWENYE MZIKI:

marafiki zangu waliniambia naweza kuimba na nilipoenda studio producer alikubali sana ngoma yangu ya kwanza

1920297_732275760129500_1505802503_n musician Asende fumbele a.ka. the black

Naomba watu waniunge mkono ili niweze kusonga mbele kwenye kusambaza kazi yangu  maana mimi naweza  kusambaza hapa holand tu kama kuna distibutor basi naomba tuwasiliane kupitia blog hii. nampenda producer wangu anaenifanyia mziki sababu amefanya kazi nzuri sana

 

Usisahau kulike and share pia unatupata facebook .  swahili movies .com
pia follow us instagram  swahilimovies