Niva Zuberi akiwa na msanii mwenzake kajala masanja
Hebu jikumbushe wadau , Mwaka jana STEPS ILITOA TUZO ZA WAIGIZAJI BORA TANZANIA ; LAKINI TUZO HIZO NI KWA WASANII WA STEPS TU ina maana ni kwa wasanii wanaouza kazi zao step entertainment na katika Tuzo hizo watu mbalimbali walijinyakulia tuzo mbalimbali kama Tuzo ya Muigizaji Bora wa kike ilienda kwa Irene Uwoya na Tuzo ya Muigizaji bora wa kiume ikienda kwa Bonge la Bwana au JB
ANGALIA DEMO YA JUMBA LA DHAHABU HAPA
https://www.youtube.com/watch?v=O61ANRms2wE
tuzo bora ya msanii wa kike Chipukizi ilenda kwa Irene Paul na KITUKO kilikuja pale Tuzo ya Muigizaji bora chipukizi wa kiume alipopewa NIVA , MMMH hapa ndipo kila mtu alishindwa kuelewa kwani NIVA kila mtu anamfahamu kutokana na kazi zake nzuri na nyingi alizofanya toka mda mrefu na kazi kubwa iliyomtambulisha Niva katika sanaa ni tamthilia ya JUMBA LA DHAHABU tamthilia ambayo ilijipatia umaarufu mkubwa katika historia ya tamthilia TANZANIA NA AFRICA KWA UJUMLA ikiwa Niva PIA NI MUIGIZAJI ALIYOITENDEA HAKI TAMTHILIA HIYO PAMOJA NA KAZI ZAKE NYINGI sasa swali lilibaki kwa watu je ni sawa kumopa tuzo ya msanii chipukizi NIVA lakini NIVA kutokana na furaha ikawa kama hakuona kitendo cha kuitwa chipukizi je wewe mdau unaonaje kitendo hicho cha msanii mkongwe kupewa tuzo ya uchipukizi TOA MAONI YAKO CHINI
Mzee king Majuto , Niva na Mzee chilo
baadhi ya film alizofanya Niva na riyama Ally
Niva na Elizabeth chijumba au Nikita
ANGALIA TUZO ZOTE ZA BONGO MOVIES HAPA CHINI
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more