VAD Waibiwa Camera Kiutatanishi, Waahidi Zawadi Nono Kwa Atakayetoa Taarifa Ilipo.

Wasanii wa kundi la Voice Of Africa In Denmark(VAD) ambao wanajishughulisha na sanaa ikiwemo kutengeneza filamu kwa kiswahili nchini Denmark wamepata masahibu ya kuibiwa moja ya camera zao muhimu. Tukio hilo limetokea baada ya

tulikua na toka kushuti na Jay ambaye ni Cameraman  alikuwa na  harakati za kuhama pale anapoishi kuamia mji mwingine .Tulipo maliza kucheza weekend siku 3 tuka rudi manyumbani na baadhi ya wasanii  wakabaki kumsaidia Jay kuamisha vitu  vyake juma3 wakaenda nao nyumbani Jay akawa tu bado ameshughulika na mambo ya kuahma basi kupitia iyo mpaka baada ya siku 5 tuka alikwa kusherehe ya  Mmoja wa Viongoui wa VAD Chagu, Chagu akahitaji Camera ichukue sherehe Jay alipoanza tafuta Camera haikuonekana kwaiyo tunaona inawezekana kuna mtu alichukua wakati akiwa mupirika pirika za kuhama adi sasa wiki moja tuna tafuta atupati Wote tume wauliza hadi tuna peleka ripoti polisii wote wana kataaa..

. Kwa mujibu wa mmoja wa viongozi wa VAD mwizi huyo atawatia hasara kwakuwa katika camera kulikuwa na memory yenye vipande vya filamu yao mpya hivyo halikuwa tukio la kiungwana hata kidogo.
photo.php

 

10255141_10203826233126920_269930238_n

Mmoja wa viongozi wa VAD akizungumza na SWP amesema kuwa tayari wameripoti tukio hilo polisi na uchunguzi unaendelea lakini pia watatoa zawadi nono  kwa mtu yeyote atakayewapa taarifa au tetesi za kamera hiyo ilipo. Kwa hiyo kama unajua ilipowasiliana na VAD 10385191_10203826233206922_193723606_n

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT ;Swahiliworldplanet

Tupe maoni yako hapo Chini..!!