Actress Vumi Vane achoshwa na Maneno ya Watu soma hapa alichokiandika

Muigizaji wa V.A.D film production Vumi vane  anayefanya vizuri katika filamu za european swahili Movies   kama filamu yake mpya ya NIMWAMINI NANI .  Amechoshwa  na maneno ya watu wanaomsema vibaya tena maneno ambayo sio ya ukweli   juu yake,  hali hiyo imemchosha  Vumi na kuamua  kuandika hayo hapo chini katika  mtandao wa kijamii

10333820_1451967768380531_352017117593873073_o

Vumi Vane akiwa kwenye pozi

Nimeisha pima kuonesha roho  muzuri kwa watu,  lakini kwa  hapo sasa imezidi, nachoka na maneno  ya watu. Hakuna mtu mwenye  ananijuwa zaidi ya Mungu. Namlilia Mungu kila siku   awaonyeshe hata ukweli  yangu mundoto yenu,

haiwezekana. Na jua kuna siku Mungu ata  waoneshaka tu ukweli yangu na mtanitafutaka. Mina juwa kuchukiwa ni sababu ya Mungu   kukupenda.  Kwa hiyo  muendelea  nawapa siku.  Alimalizia

10564767_1478522045725103_1313959462_n 10564837_1478522055725102_1688079019_n 10555129_1478522539058387_1069854634_n 10543356_1478522759058365_206454207_n

Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and  for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more

CREDIT : Here

Tupe maoni yako hapo Chini..!!