Waandishi habari watatu wajeruhiwa na risasi huko Beni Kivu kaskazini baada ya kushambuliwa na waasi wa ADF katika mbuga za wanyapori ya Virunga na mmoja wao kufariki leo. Waandishi hao kuna Mitara Hangi Redio Muungano Oicha ,Subiri Patient wa Redio Semuliki Beni na Kenedy wakiwa waandishi wa habari wa OICHA.hali yao si hatari sana ila mmoja aliye pata majeraha kichwani Kenedy yuko katika hali mbaya.
Wanajeshi wa DRC wakiwa katika kambi ya waasi wa ADF karibu na muto Semuliki
kenedy mwana habari wa huko Beni baada ya kujeruhiwa na kupata majeraha jana leo asubui amefariki risasi karibu na mto semuliki katika mbuga la wanya pori la Virunga ambako waasi wa ADF walishambulia gari lao
waandishi wa habari waliojeruhiwa kivu Congo
waandishi wa habari waliojeruhiwa kivu Congo
Swahili movies inatoa ombi kwa watu wote ulimwenguni kuiombea nchi hii ya CONGO na nchi zote ambazo zina vita kwani ni miaka mingi sasa vita vya CONGO havijatulia na watu wengi wasio na hatia ikiwa watoto na wakubwa wanakufa bila hatia .MUNGU ipe amani CONGO ,
CREDIT :VOA
Usisahau kulike and share pia unatupata facebook . swahili movies .com
pia follow us instagram swahilimovies