Waigizaji wenye makazi yao ulaya ambao wamekutana tanzania ambako ashley Toto mkenya alikwenda kwenye ziara yake ya kutangaza kazi zao mpya za Devotha Media zinazokuja na Sanura Jafari aliepo huko kwa ajili ya mapumziko na kusalimia familia yake , baada ya kukutana wote waliamua kutembelea ofisi hizo zilipozo sinza.kuonyesha heshima yao na kutambua mchango wa Marehemu steven Kanumba katika tasnia ya filamu Tanzania hasa leo ikiwa ni siku ambayo kitabu cha Marehemu kanumba kinazinduliwa Land mark Hotel Ubungo .
kwa walio DAR wanakaribishwa kufika katika uzinduzi wa ktabu cha kaunumba ambacho ni leo jioni kwa maelezo zaidi angalia picha hapo chini.
hii ndio Tamthilia ambayo kwa sasa ashley Toto anaifanya
https://www.youtube.com/watch?v=vaDxb11G_lo
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
CREDIT :Here
Tupe maoni yako hapo Chini..!!