Warembo wa v.a.d wachanganywa na penzi la Mr nice

1486595_743010015727718_1778987873_n

Katika hali za kushangaza wasanii wakike wanne wa v.a.d  Denmark.  Devotha Alfred,   Tatu  Daniel ,   Vumi Vane   na Solange  Machozi wajikuta wakishare mapenzi  na msanii mkubwa wa music alietokea Tanzania Mr nice

Katika mda  mchache wa wiki moja Mr nice  alifanikiwa kutembea kimapenzi na mabinti hao wanne ,  ambao mmoja ni mke wa mtu , pasipo wenyewe kujua

1475925_1398401843737124_778504884_nVumi vane1525374_781594028524035_1875686869_nSolange David

1525611_449120131861268_125356993_nDevotha alfred

1403140_728308770531176_42007100_oTatu Daniel

kitimutimu kilianza pale mabinti hao walipopiga namba yake na kumkosa na kuvamia nyumba ya rafiki yake .

1476365_778923798791058_435752319_nSolange  na Mr nice on set

1481289_1401553616755280_130539982_n

Vumi vane na Mr nice on set

1471139_449125011860780_1383000543_nDevotha na  Mr nice on set

Hicho  ndio kipande kidogo  alichokicheza Mr nice akiwa nchini denmark  na  wasanii wa Voice of Africa in Denmark  v.a.d  zifuatazo ni behind the scene za upigaji wa movie hiyo. hivyo washabiki mkae mkao wa kula kupata movie kamili .

 

2V.a.d Manager Rizo Babingwa na Mr nice  wakiteta jambo

Mr nice akifanya interview na Rehema Amiry Nkalami wa Swahili Talk radio Denmark

Usisahau kulike and share pia unatupata facebook    swahili movies .com