Msanii chipukizi Geofrey McLaughlin anayefanya vizuri kwa kurap nchini Denmark Geofrey McLaughlin a.k.a G A Mc MTOTO WA SINGIDA baada ya kushirikishwa kwenye nyimbo ya Th e black – nilivyokupenda sasa ameingia studio tayari anapika nyimbo yake mpya itakayokwenda kwa jina la SUMMER LOVE anawataka mashabiki wake wakae mkao wa kula .
Diamond akionyesha tatoo yake mkononi
Na alipoulizwa kuhusu tatooo zake ambayo moja inafanana na Tatoo ya Diamond alisema kuwa
Tatoo zangu hazifanani na Daimond hata kidogo japo nae ana tatoo mikononi kama mimi lakini mimi si mikononi tu zipo nyingine sehemu nyingine jumla nina tatoo tisa na hizi sio za urembo maana zote zina maana zake kwa leo nisingependa kuziongelea niko busy .
Geofrey akionyesha tatoo yake
Geofrey akiwa studio kwa ajiri ya nyimbo mpya
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
Filamu kali ya THE REDD inaingia sokoni SOON hakikisha unanunua nakala yako halisi. ni fiamu mpya na yenye ubora wa hali ya juu kutoka kwa yule yule Director Mkali wa Denmark na Scandinavia kwa ujumla BIG JJ OLENGA na filamu hii imetengenezwa nchini GHANA akiwa kama producer ambako ndiko ana kundi jipya la filamu THE REDD ni moto wa kuotea mbali stay tune trailer is coming soon
Producer by BIGJJ FILM PRO the trailer is coming soon, kama utaitaji trailer wasiliana na
Big jj film pro
Filamu mpya ya The REDD iliyotengenezwa na BIG JJ
Follow us on instagram swahili movies and Like our facebook pages Swahili movies.com and for more updates about Swahili movies latest news, Scandal, Celebrities, features,european news, American,Australian ,Africa news, Music , news and more
Subscribe youtube DEVOTHA MEDIA
To change your privacy setting, e.g. granting or withdrawing consent, click here:
Settings