Dida Kailo Ametuletea ADEDE ISIKIE HAPA KWA MARA YA KWANZA

Baada ya mda mrefu msanii dida kailo mkenya mwenye makazi yake Nchini Ujerumani ametuletea wimbo mpya aliomshirikisha star kutoka kenya

Dogo Richie , Bonyeza hapa chini kuweza kusikiliza wimbo huo, usisahau kusubscribe kwenye chaneli yake

DIDA KAILO X DOGO RICHIE ADEDE (Official Music Video)